Jobless_Billionaire
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 3,106
- 8,101
- Thread starter
- #21
Kama wametengeneza plan ili ionekane kuna miujiza inatendeka kanisa hilo basi hii ipo too weak aiseeHuyu b.dada mzushi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wametengeneza plan ili ionekane kuna miujiza inatendeka kanisa hilo basi hii ipo too weak aiseeHuyu b.dada mzushi.
aaah we nimeelewa niliiona mwanamke anashuhudia kwa mwamposaUtadhani umeelewa kweli
Kumbe umeelewa
Kama kapangwa basi katoa boko,izo pesa za Mwampo atazitema.Kama wametengeneza plan ili ionekane kuna miujiza inatendeka kanisa hilo basi hii ipo too weak aisee
Hatari sanaaaah we nimeelewa niliiona mwanamke anashuhudia kwa mwamposa
Mchungaji kajitahidi kumlisha maneno ili anyooshe maelezo b.dada bado anarudia kupuyanga🤣😂Kama wametengeneza plan ili ionekane kuna miujiza inatendeka kanisa hilo basi hii ipo too weak aisee
Sio poa. Hili boko hata yeye akija kuiangalia clip anaweza kujikataa aisee. Hata John Bocco) halitambui hiliKama kapangwa basi katoa boko,izo pesa za Mwampo atazitema.
poleWengine mb shida,, huwez simulia kwa maandishi kdoogo 😌
Huyu anaweza kuanza kwa kuiponda CCM kwa madudu yake halafu akahitimisha kwa kuipongeza na kuiunga mkono ili iendelee na moyo huohuoHuyu ndio wakumuweka kwenye propaganda za vyama hasa CCM ,maana limekubuhu kwa uongo.
Mkuu mnunulie MB uanze kujilia ndafupole
Hataki anaringa acha aangalie video na maringo yakeMkuu mnunulie MB uanze kujilia ndafu
Kuandika ni mtihani hajui wengine keyboards zimebakiza wino kidogo tuHataki anaringa acha aangalie video na maringo yake
We nawe sasapole
Dooh! Mtu haelewi deni kapata vipi na hata hiyo kampuni pia hawaelewi Intelligent businessman imekaajeHuu ushuhuda umekaaje aisee kwa aliyeelewa
View attachment 3204784
NiniWe nawe sasa
Fiksi hizo😂Dooh! Mtu haelewi deni kapata vipi na hata hiyo kampuni pia hawaelewi Intelligent businessman imekaaje