Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa
Kumbe unafuatilia?!Huu ushuhuda umekaaje aisee kwa aliyeelewa
View attachment 3204784
Ze Comedy at its best....bongo mivie hizi jamani?Huu ushuhuda umekaaje aisee kwa aliyeelewa
View attachment 3204784
Hapo dhamana ilipatikanaje??Hakuna bank au kampuni inatoa hela kinyemela hivyo. Yaani uende na details zangu uwaambie wakupe hela pasipo kuniona au kufanya mawasiliano na mwenye hizo credentials? Labda unaongelea Vikoba.
Ingekuwa hivyo unavyoeleza wewe ni rahisi, ni wengi tungeshakopa mabenki kwa taarifa za tunaowafahamu pasipo hata wao kuelewa. Wewe unaongelea VIKOBA vya mtaani. Bank au kampuni zinazofanya biashara kweli kitu kama hicho hakipo. Tena Millioni 70, kibaya zaidi mtu aliyekopa hawafahamiani. Yaani kampuni ishindwe kuwa hata na details za aliyeenda kuchukua hiyo fedha hadi imface jamaa direct kuwa yeye ndie aliyekopa? Pesa sio nyepesi hivi aisee