Nimeshindwa kuelewa kabisa aisee

Hapo dhamana ilipatikanaje??
 
Angalia hali ye kiuchumi, kimwili na kiakili na kiimani ya yeyote aliyemfuasi wa Mitume na manabii.
Wako hoi!!

Kwa sababu:
Mithali 28:19 "Bali afuataye mambo ya upuuzi atapata umaskini wa kumtosha."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…