Nimeshindwa kuelewa kwanini niki-date na mwanamke anashindwa kunisahau? Ilinisumbua kupata mke

Nimeshindwa kuelewa kwanini niki-date na mwanamke anashindwa kunisahau? Ilinisumbua kupata mke

Hivi mkuu una shida gan kwan? Maana naona kama umefululiza kujitukuza
Women respect men who take what they want.

If you want to have a girl, be sexual with her.
Make sexual jokes, touch her, and escalate.

If you keep it too friendly and play it safe,
you become one of her girlfriends.

You have a dick.

Don't be afraid to use it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha....kwamba unaogopa utazama mazima sio!!! Ushakwepa mishale mingi Jo ☺️
Kuzama mazima haiwezekani,aina ya mwanaume mwenye majigambo kama ya mleta mada hata hisia za mbali haziwezi kuwepo
 
Women respect men who take what they want.

If you want to have a girl, be sexual with her.
Make sexual jokes, touch her, and escalate.

If you keep it too friendly and play it safe,
you become one of her girlfriends.

You have a dick.

Don't be afraid to use it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sor,I don't have a dick i mean am a woman
 
😀😀😀😀😀😀😀
Mkuu basi unaona sifaaaaa, embu tulia na mmoja. Acha mawazo ya kimalaya
 
Ndiyo wewe ni msomi wa 'kiwangi' cha juu sana hilo liko wazi mkuu,

Wanawake wazuri sana hawataki kukuacha ni wewe,
Wanawake wanakutongoza sana Insta ni wewe,
Unahonga sana michepuko ni wewe,
Una mke mzuri sana JF nzima hakuna ni wewe,
Jamaa msomi sana ni wewe,
Unaye date wanawake wazuri sana na wengi sana ni wewe,
Mwanaume mwenye muonekano mzuri sana ni wewe,

Okay, tunashukuru sana kukufahamu mkuu..!

Sasa unaumia na kismati cha mwenzako
Mwenzako ananyota ya mashuke
 
Back
Top Bottom