Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Women respect men who take what they want.Hivi mkuu una shida gan kwan? Maana naona kama umefululiza kujitukuza
Kuzama mazima haiwezekani,aina ya mwanaume mwenye majigambo kama ya mleta mada hata hisia za mbali haziwezi kuwepoHahaha....kwamba unaogopa utazama mazima sio!!! Ushakwepa mishale mingi Jo โบ๏ธ
Unachukulia mambo too serious....Be Careful na hela za watu...
Sor,I don't have a dick i mean am a womanWomen respect men who take what they want.
If you want to have a girl, be sexual with her.
Make sexual jokes, touch her, and escalate.
If you keep it too friendly and play it safe,
you become one of her girlfriends.
You have a dick.
Don't be afraid to use it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo mvuruga mambo tushamzoea๐คฃ๐คฃHaha, watu wana makasiriko kinoma, DeepPond naye kayavagaa..!
Unachukulia mambo too serious....
Asante kwa kunitumia kama mfano,japo ilionekana kama unanitaja mimi directMkuu nilitumia tu wewe kama mfano wa kufundishia heheehhe..
Life is not that serious
Asante kwa kunitumia kama mfano,japo ilionekana kama unanitaja mimi direct
Ndiyo wewe ni msomi wa 'kiwangi' cha juu sana hilo liko wazi mkuu,
Wanawake wazuri sana hawataki kukuacha ni wewe,
Wanawake wanakutongoza sana Insta ni wewe,
Unahonga sana michepuko ni wewe,
Una mke mzuri sana JF nzima hakuna ni wewe,
Jamaa msomi sana ni wewe,
Unaye date wanawake wazuri sana na wengi sana ni wewe,
Mwanaume mwenye muonekano mzuri sana ni wewe,
Okay, tunashukuru sana kukufahamu mkuu..!