molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
Mkuu kula mkongoraa heshima itarudi.. Utapiga mzigo mpaka Bupa isuffocate...!Mimi ni kijana wa kiume nina girlfriend ambaye tunatarajia kuishi pamoja Mungu akipenda,,Huwa tunakawaida ya kufanya mapenzi mara moja kwa mwezi,mwezi huu tumekutana lakini maajabu jogoo wangu alishindwa kufanya kazi,tulifanya Romance before na alisimama kama kawaida lakini ghafla akalala na hatujaweza kufanya mapenzi mpaka asubuhi na imepita siku moja lakini jogoo hasimami mpaka nimepanic na Girlfriend wangu hataki hata kunisikia anasema na mcheat lakini ukweli sijafanya hivyo,wana jamii naombeni msaada maana uhusiano wetu mpaka sasa upo majaribuni ni nini tatizo kwani ni mara ya kwanza kutokea?
Kilichokutokea ni athari tu za kisaikolojia, hunashida yoyote, ila ni panic tu, mwiite geto siku nyingine na akija usianze kumparamia, anza kwa kupiga naye stori ili hofu uliyonayao iishe na baadaye uanze kama utani kumtomasa na kamwe usilete mawazo ya "hivi itakuwaje jogoo akikataa kuwika?"
jiamini we ni jembe na unauwezo wa kugonga ngozi mpaka atambue uongozi.
taratibu mchojoe viwalo huku ukiendelea kutomasa na wewe jichojoe na endelea kumtomasa, mtanue uingie katikati endelea kumchuchu chuchu, huwa inamacho yenyewe itavutwa. hapo kwishney.
Na endelea ku du naye hata kila siku ikiwezekana ili uweze kujiamini zaidi.
uchafu mwingine puuuu kulamba koni uric acid inapitia hapo afu dada wa watu aaa ewiiiikitokea ukaona imegoma kabisa kusimama basi mwambie demu wako aimbe na mic yaani alambe koni,lazma itanyenyuka,ukiona imegoma hapo,basi andaa mabango upite barabaran kudai ushoga uhalalishwe,.
Mkuu King Kong III kwani mwanamke akiweka pini au sindano kwenye kanga huwezi kudinda?Usikute alichukua pini au sindano akaichomeka kwenye kanga.......
Mkuu King Kong III kwani mwanamke akiweka pini au sindano kwenye kanga huwezi kudinda?