Nimeshindwa kujizuia kuificha furaha yangu kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.

Nimeshindwa kujizuia kuificha furaha yangu kwa haya yanayoendelea nchini dhidi ya CHADEMA na wafuasi wao.

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance it.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
 
BUllshit huyu naye ukutwe anaitwa baba, uzao wa ujinga, hakuna anayezungumzia chadema tatizo ni mauaji yanaweza mkuta yeyote yule sasa subili mwakani mtavyouana wenyewe CCM na msije kusingizia chadema tena
Jifunze kuandika.
 
Initially I was low-key loving it.

Not because it’s the right thing to do [what’s happening to them].

As a matter of principle, I don’t countenance.

But, just out of spite, I’m Mickey D’s lovin’ it.

Walizidi mno kuchonga midomo yao kana kwamba hayo mambo yalianzia wakati wa Ngosha tu.

Sisi ambao hatusukumwi na hisia, tukawaambia mbona hayo mambo yalikuwepo hata awamu zilizopita kabla ya hiyo ya 5.

Wakazidi kuchonga midomo yao na kutubatiza majina.

Ngoja tu nimpe maua yake Rais Samia. Tena na aendelee kuwakanyaga shingoni na yale mabuti yake anayovaaga akiwa kavaa magwanda yake ya kijeshi.

Watu wapumbavu si wa kuonewa huruma.

Ni kuwashikisha adabu mpaka walielewe somo.
Joho la mabaya yote ya ccm walitaka wamvishe jpm wakasahau kua muda utawaumbua, acha wapelekewe moto hadi watubu
 
Back
Top Bottom