Huenda ni kiandika haya naweza kupata faraja na comfort kutoka kwa wadao walio wahi kupitia hali kama hi (death trauma). Tarahe 13 June mwaka jana nilipoteza mama angu kipenzi, ni lipitia wakati mugumu sana kukubaliana na ukweli kama mama amefariki kweli, cijawahi kulia tangu ukibwani ila ni lilia kama mtoto mdogo kwa siku zaidi ya tano na mkia kaburini ili raho na nafsi yangu zikubaliane na ukweli kwamba ni kweli Mama amekufa na hatarudi.
Lakini bado niliendelea tu kulia na kuumia mpaka leo licha ya kua mimi ni mtu mzima of early 40s, kifo cha mama asikuambie mtu acha tu hakisahuliki, licha ya kua Baba mzazi alitangulia mbele ya haki miezi miwili nyuma ila sikua traumatised kama kifo cha Mama mpaka leo bado siamini, chagamoto eliopo sasa ni hi alinikabidhi begi lake lenye kila kitu chake chamaana kabla ya kusafiri vikiwemo na hati vyeti funguo nguo zake na vyakwangu pia.
Kila na potaka kulifungua begi na shindwa natetemeka na kububujika machozi na simanzi za hali ya juu, ni lijipa mwoyo kwamba huu mwaka kipindi cha likizo ya sense nta lifungua ila tena ni meshindwa nimelirudisha juu kwenye undrop, sitaki kulazimisha roho yangu na wakika nilio nao mama angu hakuamini ushirikina, ni lipenda mama angu sanaa kuliko anything lakini kinacho niuma zaidi naona kama nateseka peke yangu kaka zangu na wadogo zangu, wako oky normal sanaa hata hawakulia kwenye msiba wakulia kama mimi, licha yakua alikua ana wasaidia kupitia kwangu, kwasabb na wazidi kila kitu na nimeishi na mama ngu tangu ni memaliza Chuo 2008.
Lakini bado niliendelea tu kulia na kuumia mpaka leo licha ya kua mimi ni mtu mzima of early 40s, kifo cha mama asikuambie mtu acha tu hakisahuliki, licha ya kua Baba mzazi alitangulia mbele ya haki miezi miwili nyuma ila sikua traumatised kama kifo cha Mama mpaka leo bado siamini, chagamoto eliopo sasa ni hi alinikabidhi begi lake lenye kila kitu chake chamaana kabla ya kusafiri vikiwemo na hati vyeti funguo nguo zake na vyakwangu pia.
Kila na potaka kulifungua begi na shindwa natetemeka na kububujika machozi na simanzi za hali ya juu, ni lijipa mwoyo kwamba huu mwaka kipindi cha likizo ya sense nta lifungua ila tena ni meshindwa nimelirudisha juu kwenye undrop, sitaki kulazimisha roho yangu na wakika nilio nao mama angu hakuamini ushirikina, ni lipenda mama angu sanaa kuliko anything lakini kinacho niuma zaidi naona kama nateseka peke yangu kaka zangu na wadogo zangu, wako oky normal sanaa hata hawakulia kwenye msiba wakulia kama mimi, licha yakua alikua ana wasaidia kupitia kwangu, kwasabb na wazidi kila kitu na nimeishi na mama ngu tangu ni memaliza Chuo 2008.