Nimeshindwa kulifungua begi la marehemu Mama yangu

Nimeshindwa kulifungua begi la marehemu Mama yangu

Mkuu its fyne unalo sema ni limpenda mama, japo yeye alitupenda wote equally ila niliumia zaidi, sijui kwanini tuko tofautu japo wote ni ndg.
Kutoa machozi na kulia kwa sauti sio ishara ya kuumia zaidi kuliko aliye kimya!! Hilo weka akilini.
 
Umesema baba alifariki miezi kadhaa kabla, lakini hukumlilia kama mama - mkuu ingependeza ungeacha ulinganisho huu wa kukiri ulimpenda mzazi moja kuliko mwingine.

Mungu akupe subira ya kuipokea misiba ya wazazi wako wote wawili.
Mkuu ni samehe kwa hilo upendo sio wakutegeneza au kujifanyisha wazazi wote ni liwapenda ila nilipata hisia kali mama alivo fariki , na mimi sikutaka liwe hivo ,
 
Kama una mume/mke mshirikiane kufungua begi kwa pamoja kama hao ndugu zako wa kuzaliwa hawapo interested.
Na endapo na huyo mwenzio hapendi mm nipo tayari kuja kukusaidia kulifungua.
Nimeona umeandika "ulimpenda sana mama yako kuliko chochote" binafsi nadhani hapo ulikosea ulitakiwa kumpenda sana Mungu kuliko chochote maana yeye hafariki anaishi milele.
Ni kweli tunawapenda wazazi wetu lakini wasiwe zaidi ya Mungu.

Pole sana kwa kufiwa na wazazi wako.
Be strong.
Mungu sio kitu
 
Komaa kamanda,naelewa unayopitia.pole mkuu....Mimi mama yangu yupo 50 Lakini afya yake haiko njema kivile but Mungu wetubado anampigania....nakumbuka siku nipo room nilienda msalimu likizo...yeye akiwa sebuleni...akawa anaita jina langu Sia,Sia...siaaa! Mi kwenda mwitikia nikaenda mwitikia sauti ya mwisho....[emoji15]maskini kumbe alikuwa anaomba msaada nimshike anaishiwa nguvu Ivo vile kufika tu sebuleni akadondoka kama mzigo....nilipiga yowe hilo....mamaaa! Afu kimya.Huwez amini tulijikuta tupo hospital tumetundikiwa drip wote.[emoji26]mama anauma Jaman,mama ni mama.Mwenyez Mungu akutie nguvu Covax [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mkuu nashukuru, ni mesha komaa, some time nazidiwa kukubali matokeo, kibaya zaidi mke alikua mjaa mzito mwaka hu ni kapanga akijifungua na mpa jina la mama japo sio la ukoo wetu, ili nijifaliji imetokea kazaa mutoto wa kiume loh, nikawa disappointed kdgo ila am ready to move on.
 
Mkuu nashukuru, ni mesha komaa, some time nazidiwa kukubali matokeo, kibaya zaidi mke alikua mjaa mzito mwaka hu ni kapanga akijifungua na mpa jina la mama japo sio la ukoo wetu, ili nijifaliji imetokea kazaa mutoto wa kiume loh, nikawa disappointed kdgo ila am ready to move on.
Yeah,unapaswa umove on🤜
 
ndo shida ya kumfanya mtoto mmoja special,umama mwingi inafikia hatua we ndo unaona kwamba una uchungu wa kufiwa peke yako.
wazazi wafunzeni watoto wenu kuendelea na maisha pindi hampo especially watoto ambao washakuwa watu wazima kama mleta mada ,inasikitisha mtoto wa kiume kuwa hivi,kama mtu mzima 40 years unakuwa hivi vipi kwa familia yako(mke na watoto).Nisamehe sana ila sina budi kuyasema haya
 
Umuhimu upo kwa kweli na lazima nilifungue kabla ya mwaka hu kuisha
Usilifungue ukiwa mwenyewe.Mali ya marehemu wa kike hasa nguo hupewa watoto na ndugu wote wa kike wa marehemu. FUNGUA NA WAO NA WEWE UTAFUNGULIWA. HILO SANDUKU NDILO LINAKUSUMBUA.
 
Usilifungue ukiwa mwenyewe.Mali ya marehemu wa kike hasa nguo hupewa watoto na ndugu wote wa kike wa marehemu. FUNGUA NA WAO NA WEWE UTAFUNGULIWA. HILO SANDUKU NDILO LINAKUSUMBUA.
Sawa mkuu ahsante
 
Unahisi ukilifungua utakuta matunguri au nini shida?
 
Back
Top Bottom