Nimeshindwa kumsahau

we nae sijui umetoka pori gani?utamny'ang'anyaje manzi kitu ulichompa?unaonekana una kauchoyo flani hivi
 
ha ha ha nyumba yako inaungua unabeep fire........

OK kama kweli umeamua kumpotezea simu yako usimpe....ila kama unamtaka hivi bado
 
Kwa masikitiko makubwa kabisa. Kwanini nyuzi nyingi za mapenzi zinaletwa na wanaume wakilalamika kuumizwa na mademu? Wanaenda mbali zaidi wanakuja kutafuta msaada wa kimawazo kutoka jf. Hii ni haki kweli mwanaume kamili kushindwa kufanya maamuzi ya kiume. Very sad
 
Unaonekana mzembe sana wewe dogo kaleta techinic za sekondari kabisa yani hizo zinachezwa na wasichana wa kidato cha pili na cha Tatu
Wewe tafuta mwingine nyumba ya ibada achana na kuku wakienyeji hao
 
Hahaha
 
Unaonekana mzembe sana wewe dogo kaleta techinic za sekondari kabisa yani hizo zinachezwa na wasichana wa kidato cha pili na cha Tatu
Wewe tafuta mwingine nyumba ya ibada achana na kuku wakienyeji hao
 
Du kijana wa miaka 30 unakuwa kama katoto ka Darasa la Saba kweli umri huo ndio wakulia Lia au umekulia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…