SODIUM CYANIDE
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 691
- 1,166
Wanawake hawana ujanja kwa vidume fanya fasta mrudishe kundini. Muombe msamaha wa kinaa lakini moja kichwaniNingemfuata hadi kwa baba ake dadeq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake hawana ujanja kwa vidume fanya fasta mrudishe kundini. Muombe msamaha wa kinaa lakini moja kichwaniNingemfuata hadi kwa baba ake dadeq
Umeonaee? Na hicho cha usiku kinampa kiburi angenyimwa mara Mbili angetafakari na kujua wapi amekosea, chezea njaa ya Usiku weweYeye si anajishibia hadi msosi wa usiku anapewa kwa raha zake
Njaa ya usiki mbayaUmeonaee? Na hicho cha usiku kinampa kiburi angenyimwa mara Mbili angetafakari na kujua wapi amekosea, chezea njaa ya Usiku wewe
Kuliko chochote, unaweza ukatamani kula vibovu ili kutuliza njaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1]Njaa ya usiki mbaya
Cm kapokonywa mkuuBado mgeni huyo... Unampoteza kijinga kabisa. Tizama unaumia sasa. Embu mpigie sasahivi usettle issue.
Mbona hata jalalani utafika kuutafuta msosiKuliko chochote, unaweza ukatamani kula vibovu ili kutuliza njaa [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji1] [emoji1]
Huhuhuu aisee nitalala tu njaa maana kweli jalalani nitapooza njaa lakini nitajisikia vibaya na kudharau tumbo langu [emoji16][emoji16][emoji16]Mbona hata jalalani utafika kuutafuta msosi
No way outHuhuhuu aisee nitalala tu njaa maana kweli jalalani nitapooza njaa lakini nitajisikia vibaya na kudharau tumbo langu [emoji16][emoji16][emoji16]
Njia kuu ni uvumilivu tuu aisee kuliko kula miozoNo way out
Huyu akikuhonga bodaboda ukimpiga chani anza kutangaza msiba maana kama ni Usiku asubuhi utapokea taarifa za mtu kujinyonga kisa wivu wa mapenzi [emoji16][emoji16][emoji16]Miaka 30 unahonga simu na kunyang'anya chaa kweli hujakua bado inabidi wanaume wenzako wakufunde kutoa sadaka.Wenzio wanahonga majumba na bado wanapigwa chini na hawachuki hatua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kifala yaani umepatia mno ikishindikana anaitia moto tu mkose wote.Huyu akikuhonga bodaboda ukimpiga chani anza kutangaza msiba maana kama ni Usiku asubuhi utapokea taarifa za mtu kujinyonga kisa wivu wa mapenzi [emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo kakusamehe sana ila kukukomoa anajiua kabisa [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kifala yaani umepatia mno ikishindikana anaitia moto tu mkose wote.
Mwanamke anahitaji kubembelezwa ukienda kasi unampotezaMi ni kijana (me) miaka 30 Kuna kabinti hapa mtaani nilitokea kukupenda basi sikujivuta sana nikamtafuta nikachukua number za cm nikamuomba siku moja tupate wote chakula Cha usiku basi haikuwa tabu akakubali ile siku tuliyokutana kwa ajili ya chakula sikumwambia chochote kuhusu lengo langu la kuwa nae week iliyofuata nikamuomba tena tukutane akakubali tukakutana tena sehemu nyingine hapo ndipo nilipofunguka alinielewa ila hakutaka kunijibu pale akanambie nipeleke home nikifika tu nakutumia txt sikulazimisha sana nikafanya Kama alivotaka na kweli alivofika tu home mi hata kabla sijaondoka mtaani kwao majibu yakaja amekubali. Tazizo lipo hapa tokea siku hiyo hataki kukutana na mimi akiwa mwenyewe nyumbani kwangu anakuja lakinj akiwa na mwenzake ashafanya ivo mara mbili mara ya mwisho juzi jumamosi amekuja mwenyewe lakini akiwa MP (hakuwa na smartphone nikamnunulia japo ni cm ya bei rahisi) hicho kitendo Cha kuja mwenyewe alafu MP kilinikasirisha sana ukizingatia Kuna vitu vingi tu vinatokeaga vinavyo ashiria Kama kwangu anazuga tu ikiwemo kutokujibu msg kwa wakati hanitafuti mpaka Mimi nimtafute ukimuuliz sababu kibao ambazo kimsingi hazina mashiko. Sasa juzi nimeamua kugombana nae na nikachukua cm yangu ambayo nilimwambia nachukua cm yangu kwakuwa huna kumbu kumbu yoyote nzuri uliyo niacha zaidi ya furaha ambayo niliipata siku uliyoniambia upo tayari kuwa na mimi. Alitaka nimwachie hiyo cm ili nilikataa kata kata ila tokea nimechukua hiyo cm nafsi nimekuwa ikinisuta sana natamani nimrudishie ila sijui atanichukulia je kumpenda nampenda bado ila sitaki kuingia kwenye mahusiano yenye msongo kwa sasa Kwani umri nilio nao ni wa kufanya mahusiano thabiti kabisa. Ushauri wenu wana jamvi nimpe tu hii cm au nimpotezee maana sina dhamira ya kuendelea nae tena hata Kama yeye ata taka iwe ivo