Nimeshindwa kumsahau

Nimeshindwa kumsahau

Yeye si anajishibia hadi msosi wa usiku anapewa kwa raha zake
Umeonaee? Na hicho cha usiku kinampa kiburi angenyimwa mara Mbili angetafakari na kujua wapi amekosea, chezea njaa ya Usiku wewe
 
Sasa unashindwa kumsahau wakat hata papuch haujala mkuu unamkumbuka kwa lipi
 
Miaka 30 unahonga simu na kunyang'anya chaa kweli hujakua bado inabidi wanaume wenzako wakufunde kutoa sadaka.Wenzio wanahonga majumba na bado wanapigwa chini na hawachuki hatua.
 
Miaka 30 unahonga simu na kunyang'anya chaa kweli hujakua bado inabidi wanaume wenzako wakufunde kutoa sadaka.Wenzio wanahonga majumba na bado wanapigwa chini na hawachuki hatua.
Huyu akikuhonga bodaboda ukimpiga chani anza kutangaza msiba maana kama ni Usiku asubuhi utapokea taarifa za mtu kujinyonga kisa wivu wa mapenzi [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyu akikuhonga bodaboda ukimpiga chani anza kutangaza msiba maana kama ni Usiku asubuhi utapokea taarifa za mtu kujinyonga kisa wivu wa mapenzi [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kifala yaani umepatia mno ikishindikana anaitia moto tu mkose wote.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umenichekesha kifala yaani umepatia mno ikishindikana anaitia moto tu mkose wote.
Hapo kakusamehe sana ila kukukomoa anajiua kabisa [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu sisi wanaume wenzio huwa hatuwapokonyi wanawake v2 tulivyo wanunulia kama zawadi pndi tunapotaka kuwaacha
Ikitokea unaishi na mkeo ndani ya ndoa kila mkikosana inavyoelekea utakuwa unamsimanga sana mtoto wa watu " nyumbani kwenu ninyi ni masikini tu...,halafu unajifanya kunisumbuasumbua,Baba yako mlevi sana,Mama yako mlevi sana,wale kaka zako wezi sana hawafanyi hata kazi muda wote wanawaza kuiba vitu vya watu,mama yako Malaya sana ndyo maana amezaa watoto wengi na wanaume tofautitofauti,ulikuja hapa kwangu hata kuvaa,kupika na kupiga mswaki hujui halafu hivi leo unakuja kujifanya mjanja?"
You're still growing up Bro'
 
Mi ni kijana (me) miaka 30 Kuna kabinti hapa mtaani nilitokea kukupenda basi sikujivuta sana nikamtafuta nikachukua number za cm nikamuomba siku moja tupate wote chakula Cha usiku basi haikuwa tabu akakubali ile siku tuliyokutana kwa ajili ya chakula sikumwambia chochote kuhusu lengo langu la kuwa nae week iliyofuata nikamuomba tena tukutane akakubali tukakutana tena sehemu nyingine hapo ndipo nilipofunguka alinielewa ila hakutaka kunijibu pale akanambie nipeleke home nikifika tu nakutumia txt sikulazimisha sana nikafanya Kama alivotaka na kweli alivofika tu home mi hata kabla sijaondoka mtaani kwao majibu yakaja amekubali. Tazizo lipo hapa tokea siku hiyo hataki kukutana na mimi akiwa mwenyewe nyumbani kwangu anakuja lakinj akiwa na mwenzake ashafanya ivo mara mbili mara ya mwisho juzi jumamosi amekuja mwenyewe lakini akiwa MP (hakuwa na smartphone nikamnunulia japo ni cm ya bei rahisi) hicho kitendo Cha kuja mwenyewe alafu MP kilinikasirisha sana ukizingatia Kuna vitu vingi tu vinatokeaga vinavyo ashiria Kama kwangu anazuga tu ikiwemo kutokujibu msg kwa wakati hanitafuti mpaka Mimi nimtafute ukimuuliz sababu kibao ambazo kimsingi hazina mashiko. Sasa juzi nimeamua kugombana nae na nikachukua cm yangu ambayo nilimwambia nachukua cm yangu kwakuwa huna kumbu kumbu yoyote nzuri uliyo niacha zaidi ya furaha ambayo niliipata siku uliyoniambia upo tayari kuwa na mimi. Alitaka nimwachie hiyo cm ili nilikataa kata kata ila tokea nimechukua hiyo cm nafsi nimekuwa ikinisuta sana natamani nimrudishie ila sijui atanichukulia je kumpenda nampenda bado ila sitaki kuingia kwenye mahusiano yenye msongo kwa sasa Kwani umri nilio nao ni wa kufanya mahusiano thabiti kabisa. Ushauri wenu wana jamvi nimpe tu hii cm au nimpotezee maana sina dhamira ya kuendelea nae tena hata Kama yeye ata taka iwe ivo
Mwanamke anahitaji kubembelezwa ukienda kasi unampoteza
Kama huitaji kuendelea nae mpotezee lakn kam wamuhitaji mrudie
 
Wewe ni kilaza!!.....Ukishampa mwanamke kitu hutakiwi tena kumnyanganya whatever what!!
 
Back
Top Bottom