Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
 
Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
Kwani wee ukimkula kuna tatizo gani? Sii wenyewe wanapenda poa kupelekewa moto
 
Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
Jamaa analiwa huyo. Nyuma kumelegea
 
[emoji51] kichefuchefu.

Huyo demu amshauri jamaa yake waendee hospitalii... Demu afanye kama kukereka kufua kinyesi cha mtu mzima kila siku baada ya sex[emoji34]
Yote hayo ya Nini na mtu aliamua kugawa tigo yake mwenyewe!huyo kila akipiga simu unampotezea tu baada ya mwezi na nusu atachoka atapotea kwenye maisha yake
 
Yote hayo ya Nini na mtu aliamua kugawa tigo yake mwenyewe!huyo kila akipiga simu unampotezea tu baada ya mwezi na nusu atachoka atapotea kwenye maisha yake
Yote hayo ni Kwa ajiri ya kumsaidia mpenzi wake.

Maana Kuna mawili, Either Jamaa atafunguka kilicho msibu na kinacho fanya mpaka hiyo Hali kutokea Au kugoma kwenda hospitalini Kwa ajiri ya matibabu.

Kugoma Kwa jamaa kwenda hospitalini, Ndiyo itakuwa credit Kwa demu kuvunja mahusiano bila ya kumuachia maumivu mpenzi wake na mitafaruku isiyo na ulazima.

Ni heri kuachana Kwa amani,Kuliko kuachana Kwa kuumizana maana mambo ni mengi Kwa dunia ya leo.
 
Back
Top Bottom