Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
Nilisimuliwa na mtu aliyekuwa ktk baraza la kata kuwa shauri la kutaka talaka kwa ajili ya jambo hili lilokuwa linamtokea mume wa dada mmoja. Ilibidi talaka itolewe na sidhani yule bwana kama alioa tena. SIO KUWA ALIKUWA ANAFANYIWA MCHEZO MBAYA ILA NI NAUMBILE YA MWILI WAKE KUACHIA BREKI BAADA YA MSHINDO. Ni huko vijijini kabisa hakuna mambo ya ufirauni. Nashauri amwelekeze kwa daktari kwa ushauri.
 
Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
Kwamba kufika kileleni siku hzi mpaka mavi?? Aiseee watu mna siri sana hata hamsemi ?? Ila mm hiyo stage siitaki kabisa. Au ni bwabwa hilo lijamaa lake ?
Wanawake wanaona mengi sana
 
Huyu dada ni rafiki yangu kibaruani, tunawekana sana wazi, hatuwekeani siri. Sasa toka wiki alikuwa anawaza sana na leo kaona aniambie jambo.

Anasema imetokea kama mara tatu sasa, anapofanya mapenzi na jamaa yake jamaa anapomaliza anaenda na haja kubwa hapo hapo. Anasema mara ya kwanza ilitokea kama jamaa alipokuwa anamaliza akatoa na gesi (ninyi mnaita kujamba) hapo hapo na haja ikatoka jamaa haraka akakimbia enda nawa.

Siku nyingine tena sasa ya wikiendi ni ya tatu, mwanamke anaona yatamshinda maana anakuwa na kazi ya kuanza fua mashuka. Sasa anataka kujua shida nini? Anaona kero. Mimi nlitaka mwambia aachane na jamaa ila nahisi ataona namsagia kunguni jamaa ili mimi ndiyo nianze kumla.
Komeo la chuma linafunguka kwa ushuzi sio kabisa
Pole sanaa
 
Beesmom aliandika jana kuna wanaume dizaini hii, vijana wakaanza kusema anawachafua na kuwadhalilisha wanaume.....

Amuulize huyo jamaa yake kwanini anajipupulia, amwambie akipupu afue kabisa mashuka tabia ikiendelea apigwe chini.
Hatimaye kaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake baada ya kuona kule hakuna majibu 🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom