Nimeshindwa kumshauri labda mumshauri ninyi

Khaaa wanaume wa siku hizi wakoje???
 
Kweli pesa mwanaharamu huyo jamaa atakuwa ana hela balaaa ikitokea kwa kapuku hii hata kuagwa huagwi.
 
Tatizo dogo ilo bana mwambie aka poo kabla ya mechi,mkague marinda, au ikishindikana kabisa andaa gunzi mzibe uko nyuma , ila uyo marinda amna maana ile ukiwa unakojoa lazima ukaze tako
 
Amkande tumbo na kuhakikisha amekwenda haja kubwa kabla ya lolote.
 
Mwambie jamaa yake tayari ni "mbele yetu nyuma yake"
 
mamaq jamaa wanamtusua.

mshauri wawe wanadinyana kwenye bafu au watandike nailoni kitandani.
 
Wanawake wanakutana na mengi sana!
 
Yani anafua mashuka yenye kinyesi Cha mtu mzima ambaye sio mgonjwa anatembea kwa miguu miwili!!!!???? Ptuuuuh !!!
 
Beesmom aliandika jana kuna wanaume dizaini hii, vijana wakaanza kusema anawachafua na kuwadhalilisha wanaume.....

Amuulize huyo jamaa yake kwanini anajipupulia, amwambie akipupu afue kabisa mashuka tabia ikiendelea apigwe chini.
Hilo neno kujipupulia limenifanya nimuwaze binti yangu mdogo anaposema 'apupu'.

Kama anampenda jamaa amnunulie adult diapers tu. Kabla ya kufanyana inakuwa moja ya zana kama condom tu. Kikubwa wanatoboa mbele kuruhusu kitendea kazi kuchomoza. Akimaliza hata akiachia uharo ni wake mwenyewe ataenda uvulia bafuni huko kipindi hicho mashuka yapo salama.
 
Beesmom aliandika jana kuna wanaume dizaini hii, vijana wakaanza kusema anawachafua na kuwadhalilisha wanaume.....

Amuulize huyo jamaa yake kwanini anajipupulia, amwambie akipupu afue kabisa mashuka tabia ikiendelea apigwe chini.
Beesmom namjua hakumaanisha aliongea kwa jazba tu, hata huu uzi umekaa kuharibu brand yetu wanaume... Hamna mwanaume anaeweza kujizalilisha hivyo bana, Mtu anafikaje kileleni kwa kunya???? 😁😁😁 japo inachekesha ila acheni kutuzalilisha wanaume bana, Nina wasiwasi na huu uzi itakuwa ni kamba, au umesukwa na Ke
 
Wewe ni ke au me? Tuanzie hapo kabla ya yote
 
Mwambie huyo mwanamke apunguze kuwa mtamu sana.She must stop being so sweet!Yawezekana huyo mwanaume huwa anapata raha na kutumia nguvu nyingi mno hadi anapomaliza misuli hulegea na kuachia haja.
 
Hii ni mara ya pili nasikia suala hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…