Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Habari za leo, nilikuwa napiga story na mwingereza mmoja ambaye amewekeza kwenye sekta ya utalii hapa nchini hususani katika hoteli za kitalii, tulizungumza mengi kuhusu utalii nchini Tanzania.
Nilipo muuliza kuhusu namna alivyojipanga kupokea lundo la watalii baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa miezi michache ijayo, akacheka sana. Akaniamia "it was wastage of time" nikamuuliza kivipi akasema watu wazima hawapaswi kujadiliana utoto hivyo tubadili mada.
Nimeshindwa kabisa kumwelewa huyu bwana.
Nilipo muuliza kuhusu namna alivyojipanga kupokea lundo la watalii baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa miezi michache ijayo, akacheka sana. Akaniamia "it was wastage of time" nikamuuliza kivipi akasema watu wazima hawapaswi kujadiliana utoto hivyo tubadili mada.
Nimeshindwa kabisa kumwelewa huyu bwana.