Nimeshindwa kupata kazi kwa juhudi zangu. Naombeni msaada wenu

Nimeshindwa kupata kazi kwa juhudi zangu. Naombeni msaada wenu

clinton gidioni

Senior Member
Joined
Oct 24, 2016
Posts
145
Reaction score
165
Kiukweli nimepambana lakini naona pekee yangu siwezi naombeni msaada watanzania wenzangu.

Elimu yangu ni kidato cha nne ninae jitambua na mpambanaji kweli.

Licha ya hapo nina elimu ya heavy machine operator nimedeal hasa na excavator, wheelloader pamoja na lloler au compactor hizo fani nina uzoefu nazo kiukweli ipasavyo ila kwa sasa miradi mingi imesimama.

Nina ujuzi wa kutumia CHEREHANI na kuitengeneza yani kuifanyia marekebisho pale inapo kuwa imeleta changamoto yoyote.

Nina uwezo wa kusimamia mradi na ukaenda sawa kulingana malengo aliyo panga bosi nimewahi kusimamia miradi ya ujenzi, car wash na kilimo.
nina ujuzi wa computer kwa baadhi ya program.

Endapo utabahatika kufanya kazi na mimi utafaidika na:

1. Najituma
2. Nipo tayari kuelekezwa na kufundishwa.
3. Nipo tayari kuwajibika pale mambo ya napo kuwa yemeenda tofauti.
4. Nina hofu na Mungu

LICHA YA KUWA NA HIZO FANI NIPO YAYARI KUFANYA KAZI NJE YA HIZO FANI. NIMEKUJA KWENU KUOMBA KAZI BILA KUJALI FANI AU TAALUMA NILIZO NAZO.

NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI KAZI.
Napatika kwa 0623593536
 
Kiukweli nimepambana lakini naona pekee yangu siwezi naombeni msaada watanzania wenzangu.

Elimu yangu ni kidato cha nne ninae jitambua na mpambanaji kweli.

Licha ya hapo nina elimu ya heavy machine operator nimedeal hasa na excavator, wheelloader pamoja na lloler au compactor hizo fani nina uzoefu nazo kiukweli ipasavyo ila kwa sasa miradi mingi imesimama.

Nina ujuzi wa kutumia CHEREHANI na kuitengeneza yani kuifanyia marekebisho pale inapo kuwa imeleta changamoto yoyote.

Nina uwezo wa kusimamia mradi na ukaenda sawa kulingana malengo aliyo panga bosi nimewahi kusimamia miradi ya ujenzi, car wash na kilimo.
nina ujuzi wa computer kwa baadhi ya program.

Endapo utabahatika kufanya kazi na mimi utafaidika na:

1. Najituma
2. Nipo tayari kuelekezwa na kufundishwa.
3. Nipo tayari kuwajibika pale mambo ya napo kuwa yemeenda tofauti.
4. Nina hofu na Mungu

LICHA YA KUWA NA HIZO FANI NIPO YAYARI KUFANYA KAZI NJE YA HIZO FANI. NIMEKUJA KWENU KUOMBA KAZI BILA KUJALI FANI AU TAALUMA NILIZO NAZO.

NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI KAZI.
Napatika kwa 0623593536
Hongera Sana kwa kuwa na uwezo wa kujieleza. Naomba kuuliza una leseni ya udereva?
 
I can feel you brother kuna wakati uaweza kufanya kila kitu lakin mambo bado yanakua magumu but kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kuwa hii situation itapita na utapata hitaji la moyo wako be strong! All the best
shukrani mkuu na imani ni wakati tu unapita ingawa ni wakati mgumu sana kwangu
 
Back
Top Bottom