Nimeshindwa kupata kazi kwa juhudi zangu. Naombeni msaada wenu

Nimeshindwa kupata kazi kwa juhudi zangu. Naombeni msaada wenu

Kiukweli nimepambana lakini naona pekee yangu siwezi naombeni msaada watanzania wenzangu.

Elimu yangu ni kidato cha nne ninae jitambua na mpambanaji kweli.

Licha ya hapo nina elimu ya heavy machine operator nimedeal hasa na excavator, wheelloader pamoja na lloler au compactor hizo fani nina uzoefu nazo kiukweli ipasavyo ila kwa sasa miradi mingi imesimama.

Nina ujuzi wa kutumia CHEREHANI na kuitengeneza yani kuifanyia marekebisho pale inapo kuwa imeleta changamoto yoyote.

Nina uwezo wa kusimamia mradi na ukaenda sawa kulingana malengo aliyo panga bosi nimewahi kusimamia miradi ya ujenzi, car wash na kilimo.
nina ujuzi wa computer kwa baadhi ya program.

Endapo utabahatika kufanya kazi na mimi utafaidika na:

1. Najituma
2. Nipo tayari kuelekezwa na kufundishwa.
3. Nipo tayari kuwajibika pale mambo ya napo kuwa yemeenda tofauti.
4. Nina hofu na Mungu

LICHA YA KUWA NA HIZO FANI NIPO YAYARI KUFANYA KAZI NJE YA HIZO FANI. NIMEKUJA KWENU KUOMBA KAZI BILA KUJALI FANI AU TAALUMA NILIZO NAZO.

NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI KAZI.
Napatika kwa 0623593536
Soma udereva wa gari za mizigo na gari za kawaida.Na abiria.
 
Watafute maoperator wenzio wenye kazi (najua wapo mnaofahamiana wengi tu)
Kuwa karibu na ujitahidi kutoa angalau chochote kitu (wanasema mkono mtupu haulambwi) ila usitoe rushwa.

Jenga urafiki na maopareta unaokutana nao na uweke kumbukumbu nzuri kwao. Sijui kama unanielewa bro
 
Kiukweli nimepambana lakini naona pekee yangu siwezi naombeni msaada watanzania wenzangu.

Elimu yangu ni kidato cha nne ninae jitambua na mpambanaji kweli.

Licha ya hapo nina elimu ya heavy machine operator nimedeal hasa na excavator, wheelloader pamoja na lloler au compactor hizo fani nina uzoefu nazo kiukweli ipasavyo ila kwa sasa miradi mingi imesimama.

Nina ujuzi wa kutumia CHEREHANI na kuitengeneza yani kuifanyia marekebisho pale inapo kuwa imeleta changamoto yoyote.

Nina uwezo wa kusimamia mradi na ukaenda sawa kulingana malengo aliyo panga bosi nimewahi kusimamia miradi ya ujenzi, car wash na kilimo.
nina ujuzi wa computer kwa baadhi ya program.

Endapo utabahatika kufanya kazi na mimi utafaidika na:

1. Najituma
2. Nipo tayari kuelekezwa na kufundishwa.
3. Nipo tayari kuwajibika pale mambo ya napo kuwa yemeenda tofauti.
4. Nina hofu na Mungu

LICHA YA KUWA NA HIZO FANI NIPO YAYARI KUFANYA KAZI NJE YA HIZO FANI. NIMEKUJA KWENU KUOMBA KAZI BILA KUJALI FANI AU TAALUMA NILIZO NAZO.

NDUGU ZANGU WATANZANIA WENZANGU NAOMBENI KAZI.
Napatika kwa 0623593536
Vipi umejaribu kutoa na kafara kidogo?
 
Back
Top Bottom