Nimeshindwa kutoa pesa kwa wakala mimi nataka pesa yeye ananiambia toa TU

Nimeshindwa kutoa pesa kwa wakala mimi nataka pesa yeye ananiambia toa TU

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Wakuu nimeshindwa kufanya muamala hapa maana huyu wakala ananichanganya hapa.

Nimemwambia nataka nitoe pesa yeye ananiambia toa TU.

Sasa mimi hiyo TU sina nina pesa nataka niitoe.

Nimejaribu kuuliza kama kuna mwenye hiyo TU anisaidie hakuna.

Naombeni msaada hiyo TU ni nini na inapatikana wapi oli niende kwa wakala nikaitoe.
 
Mkuu Toa TU...... Wala usihangaike sana, toa TU 😀
 
Wakuu nimeshindwa kufanya muamala hapa maana huyu wakala ananichanganya hapa.

Nimemwambia nataka nitoe pesa yeye ananiambia toa TU.

Sasa mimi hiyo TU sina nina pesa nataka niitoe.

Nimejaribu kuuliza kama kuna mwenye hiyo TU anisaidie hakuna.

Naombeni msaada hiyo TU ni nini na inapatikana wapi oli niende kwa wakala nikaitoe.
Hiki cha Asbuhi kibaya sana tena kikiwa na mbegu..
Na umetoroka Lini Unatafutwa huku
 
Back
Top Bottom