Hiki cha Asbuhi kibaya sana tena kikiwa na mbegu..Wakuu nimeshindwa kufanya muamala hapa maana huyu wakala ananichanganya hapa.
Nimemwambia nataka nitoe pesa yeye ananiambia toa TU.
Sasa mimi hiyo TU sina nina pesa nataka niitoe.
Nimejaribu kuuliza kama kuna mwenye hiyo TU anisaidie hakuna.
Naombeni msaada hiyo TU ni nini na inapatikana wapi oli niende kwa wakala nikaitoe.
Ila Jf jamani😂😂😂Mkuu utotoni uliwahi kupata unyafuzi & utapiamlo?
HahahaMkuu utotoni uliwahi kupata unyafuzi & utapiamlo?
Kwa hali hii katiba ni muhimuIla Jf jamani😂😂😂
HAKIkAMilembe loading
Itakua kwenye ile kadi yake ya clinic graph ilikua downtrend, kila akienda mama anaaambiwa mpatie maziwa, uji wa magimbi, mtori na loshorooHahaha