Nimeshindwa kuuthibiti wivu

Ninachoamini sikuzote
Mapenzi hayaji kwa kulazimisha na wala hatokupenda kwa wivu uliokithiri
Maam hujamkuta bikra huwez mlinda acha ajilinde
Ukimlinda ni kazi bure

Cha muimu fanya yako
Jipende
Poteza mda wako katika mambo yako muhimu
Ukipata mda mpigie muongee usipopata mda usimpigie
Jipende na jipe thamani
Na akiona hili kwako lazima atakuona ana bahati kuwa na wewe
 
Wivu wa kumhisi mtu kitu hata kama huna ushahidi nacho ni hatari kwa afya yako.jiepushe na dhana(jumping to conclusions) ni hatari sana sio kwenye mapenzi tu,hata maisha ya kawaida,jifunze kuwa na mawazo chanya.

2.JIAMINI.mtoto wa kiume wewe usiwe na nafsi legevu,kama wa mpenda na ameonyesha kukupenda kwa kauli na vitendo waswas na gubu la nini ( wivu na gubu vinalandana).trust your self and your soulmate,tena ukizidisha wivu ndo unamtengenezea mazingira hatarishi ya .....

3.Give her space,hujamzaa huyo,usimgande sana,mpe uhuru aishi maisha yake,mwamini tu mwenzio mana akiamua kucheat worrying wont help.na anaweza akafanya na usijue.kama ni rizki yako basi hakuna atayeweza kukupindua.
 
Ukisikia kuanguka kwenye mapenzi ndio hiyo..sio wivu ni mapenzi..ila kumbuka moyo kazi yake kusukuma damu
 
Pumzika kwa amani mkuu
 
Aisee wivu ni kwamba dhahiri humuamini mpenzi wako. Na ukimuoa ndo utazidi maradufu. Kwanza ondoa mawazo mabaya juu yake na kama ana zuri moja na mengine mabaya 9 basi upe kazi ya kuwaza hilo zuri moja na lipe kipaumbele na kusahau mengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kulikoni kufufua huu uzi,!!??? Muhusika alishafariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbele yako Nyuma yetu Kamanda.

Daima tutakukumbuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…