Nimeshindwa kuwatofautisha Mbitiyaza na Nifah?

Nimeshindwa kuwatofautisha Mbitiyaza na Nifah?

Mimi zaidi Bruh,nina mengi ya kuongea nawe... ngoja nitulie nitakucheki.
Ila salute zako,wewe ni field marshal haswaaaa! [emoji1487][emoji1487]
Bwahahahahahah.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi kuna mtu kanirushia bomu humu ndani, tena hilo bomu limenikuta hadi nje ya JF. Namwangalia halafu nasema Hiiiiiiiiiiiiii, ya kihutu.
 
Back
Top Bottom