Nimeshindwa kwenda kazini sababu ya baridi, TANESCO wanahatarisha kibarua changu

Leo Dar kuna baridi ase mvua kubwa imenyesha alfajiri na ubaridi umesababisha maji kwenye tenki yawe baridi sana ...inahitaji moyo sana ,tatizo baridi bro
Hahaha we jamaa umenishangaza sana yaani dar unasikia baridi sasa ukikaa njombe,mufindi huko hata mswaki utapiga kweli
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kama wamama wajawazito
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Uko mkoa wa Njombe au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…