Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
[emoji23]Wanaume wa Dar
Hahaha we jamaa umenishangaza sana yaani dar unasikia baridi sasa ukikaa njombe,mufindi huko hata mswaki utapiga kweliLeo Dar kuna baridi ase mvua kubwa imenyesha alfajiri na ubaridi umesababisha maji kwenye tenki yawe baridi sana ...inahitaji moyo sana ,tatizo baridi bro
Wana JF karibuni dinnerNdo hapo sasa yani nikiona mwanaume yupo busy anachemsha maji namuona wa ajabu sana[emoji1] [emoji1]
Wa Dar, maji wana chemsha na chips wanakula...[emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo hapo sasa yani nikiona mwanaume yupo busy anachemsha maji namuona wa ajabu sana[emoji1] [emoji1]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Na mahindi wanaweka limau chumvi na pilipili[emoji1] [emoji1]
Hawa jamaa wa dar saiv wanatia aibu sana yaani wamekuwa nyoro nyoro sanaWa Dar, maji wana chemsha na chips wanakula...[emoji12] [emoji12]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wana JF karibuni dinner
Naomba niishie hapo tafadhali
Hahaha ni tatizo kwakweliNa mahindi wanaweka limau chumvi na pilipili[emoji1] [emoji1]
KK na wewe unachemshaga maji?[emoji23]
ManWewe ni mwanamke?
Ushauri mzuri..shukranNunua gesi
Kupika natumia kuni sasa huko kuchemsha maji huku mkoani hatujui[emoji23]KK na wewe unachemshaga maji?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kama wamama wajawazito
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Unazingua sasaduh kama ni mwanaume pole sana kwa wazazi wako maana mtoto wamezaa ila hawajapata chochote
Uko mkoa wa Njombe au?Leo nimesikitika sana nimeamka nimekuta mvua kubwa sana na baridi na kwa bahati mbaya au makusudi Tanesco wamekata umeme na kiukweli nimesononeka sana sababu Tanesco wana hatarisha kazi yangu.
Nimeshindwa kuoga sababu hali ya hewa ni baridi sana na maji ya baridi na kiukweli nimeshindwa kuoga na kuelekea kazini ,nilitegemea kuchemsha maji kwenye heater ila Tanesco wakafanya yao
Kwa baridi hii aah watanisamehe bure tu yote wameyataka Tanesco ,nimesikitika sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Kama wamama wajawazito
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Pumbavu sana, Kilaza mkubwa Mwanaume unashindwa kuoga kisa baridi.