Nimeshindwa namna ya kumsaidia. Ingawa naumia sana kwa hali anayonisimulia

Nimeshindwa namna ya kumsaidia. Ingawa naumia sana kwa hali anayonisimulia

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
 
Mkuu. Ukifunga ukurusa funga ukurasa. Delete namba na i blackleast. Mwabie akapate ushauri nasaha kwa wataalam au akaombewe kanisani na muweke wazi huna shida nae.
Itakuwa alipata mwingine akakuona wewe ronya ronya sasa akili zimemrudia.

Mkuu nakushauri unapotafuta mke tumia sana akili. Usitumie hisia. Usije ukachagua kwa hisia baada ya kuoa ndio akili ikafunguka ukajua ulikosea.
Kama utampa nafasi ya pili, mambo yake yakiwa mazuri atakugeuka tena. Utakuwa kama daraja akivuka ni mpaka atakapo kuhitaji tena.
 
Broo alijilaani mwenyewe ila kasahau, ashachuja kawa chuma chakavu anatafuta pakufia sasa ww jifanye unampokea ile upande wako kwa mara nyingine kwakuwa naona Na ww kama vile hujakoma kwa yote aliyokutendea leo unajaribu eti ww ndio umsaidie! Broo fanya mambo yako Na wape watu wengine nafasi ww ulishapita unaanza kugeuka nyuma kunann???
 
Binafsi sioni kama kuna msaada wowote anaohitaji toka kwako, kama ni mkosi amejitilia yeye mwenyewe...

Kwa kifupi huyo binti anahitaji huruma yako umrejelee, ameshindwa tu kukufungukia...

Sasa ni uamuzi wako kama ulishamove on au bado wadhani unaweza ukamrejesha maishani mwako...
 
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
Kifupi jamaa waliotangulia kukupa ushauri wamekushauri vizuri sana, huyo anataka mrudiane aje akumalize kabisa.

Kuwa makini na hawa viumbe , niwazuri sana lakini nachelea kusema kama kuna viumbe wasioeleweka hawa ndio wa kwanza.

Maumivu kila mtu anapitia man nikawaida sana, usijaribu hata kukitana nae nakwambia utajiharibia sana.
 
Waaaachchaaaaaa hiyo mbuz iendelee kudanga! Ukiileta dar itakaa kwako na itajigamb Tu imeolewa lakini watainyambua kam mwanzo
 
Umetuficha Baadhi ya mambo aliyokusimulia maana katika uliyoandika hakuna hata moja linaloakisi title ya uzi wako kuna story ndefu behind lakin anyway umenikumbusha release me aliyoimba legend lucky dube R.I.P
 
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
Mwambie uncle NGONGOTI Bujibuji anatafuta mke, akija Dar asifikie kwako, kwa sifa ulizompa naamini atanifaa
 
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
Mkuu ukikubali kuonana nae basi umekwisha maana unaonekana eidha ni mdhaifu kwenye kusimamia maamuzi au bado unampenda maana ushaanzabkuingiwa huruma eti SIJUI NIMSAIDIEJE..... mzee huyo hatabadilika na mkionana tu trust me utamrudia kwahyo mfutilie mbali wakat anakukataa alipata mtu akamzuzua sasa wamebwagana huko kaenda kwa mwingine kabwagwa kaenda kwingine yaleyale umri unakimbia kwa speed ya mwanga na wenzake wanaolewa kwa speed kali anajikuta anazeeka haeleweki ndo anaanza kukukumbuka wewe sasa anaona ajaribu kuja kujiliza oooohhh shetani tu yule ooohhh ilikuwa foolish age saiv nimekomaa kiakili nimejifunza ohoooooohh ukiingia mtegoni umekwisha mkuu
 
Back
Top Bottom