Nimeshindwa namna ya kumsaidia. Ingawa naumia sana kwa hali anayonisimulia

Nimeshindwa namna ya kumsaidia. Ingawa naumia sana kwa hali anayonisimulia

Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
.
Screenshot_20210204-171553.jpg
 
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.

mimi natafuta mke mkuu, kumsaidia kwake naomba niunganishe naye nitamwoa kama katulia kwelii
 
Jiongeze braza.. Anataka mkutane myajenge upya, wewe ni lala salama haukuwa chaguo lake.
 
Msamehe! Maana kitendo cha kumuonea huruma na kuumia, it means bado unampenda! Alipitia stupid age! Kutana nae, ongea nae, mtathmini kutokana na maongezi yake. Then msamehe
 
Mpe live bila chenga kuwa kwa uliyomfanyia halafu akakubwaga hana future na wewe. Mwache usithubutu kumsogelea huruma itakuja kukuponza. Songa mbele na yeye aendelee na ratiba zake.
 
Mkuu usije kuthubutu! Na ukimuentertain nakuhakikishia utarudiana nae na pigo atakalokupiga nalo utaleta Uzi mwengine humu.
 
Msamehe! Maana kitendo cha kumuonea huruma na kuumia, it means bado unampenda! Alipitia stupid age! Kutana nae, ongea nae, mtathmini kutokana na maongezi yake. Then msamehe
Huruma ipo kwa binadamu yeyote. Tunapaswa kuoneana huruma ila hiyo haimaanishi naweza rudiana naye kimapenzi. Huruma utu ndo ubinadamu wenyewe.
 
Hili hata haliitaji kuumiza kichwa piga chini huyo [emoji241]
 
Aaache us*** kwan tangu muachane ye asha dinyana na wangapi!? Au kisa anakuona mpole bas ndo anataka akuangushie mzigo na lawam Zote!!? Achana nae huyo asikupotezee muda bwana, usawa umekua mgmu af anakuletea reverse za samaki

Dah! Mekasirika kama vile ndo mim yan, any way ngojatu niishie hapa maana naeza tukana, incidence kama hii ishawah ntokea kwa mtu niliye mpenda saa dah! So sad
 
Ulivyoleta uzi hapa yaonyesha kamoyo kako bado kanapiga kwake kifupi hukutakiwa wala kumuanzishia uzi hapa watu wazima watakuwa wamenielewa.
 
Mwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.

Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.

Mwka 2012 yule dada alibadilika sana.simu mpaka mimi nimpigie.sometimes akipokea anakuwa mkali au anajibu kifupi sana.

Nlivumilia sababu nlijua pia umbali unaweza kuwa unampa changamoto.nliendelea mvumilia mpaka mwezi wa tatu aliponambia kuwa hawez endelea kuwa na mimi. Nipo mbali yeye yupo Dar. Tuachane.

Nliumia sana kwa maneno yale. Nlijaribu mbembeleza abadili uamuzi huo hakutaka nisikia. Nliumia sababu ndo msichana wa kwanza kumtambulisha kwa wadogo zangu,ndugu na marafiki kama mchumba.

Baadaye i let her go. Nlimwachia kila ambacho alikuwa nacho toka kwangu.nliamua nimsahau kabisa.miaka ikaenda . Nilifanikiwa kumsahau kwa maumivu makubwa sana.

Toka week hii ianze anapiga simu akitaka nimsamehe. Anasema nlimtia mkosi. Hapati mume.mpaka leo hii hajapata hata mchumba.

Nmeshangaa sababu ni msichana mzuri sana. Msichana ambaye mwanaume utajisikia raha kumtambulisha kuwa huyu ni mke wangu. But why asipate mchumba au mume?

Anaamini kuna jambo nlimfanyia kwa kutamka. Binafsi sikuwahi Mlaani hata siku moja. Ila ni kweli niliumia na kuteseka kwa miezi mingi. Rafiki zangu wakinisaidia kuniweka sawa.

Anaomba sana aje Dar tukae tuyaongee. Mimi nlisharudi Dar miaka mingi yeye akaenda Kilimanjaro. Sasa anataka aje Dar tuonane.

Nimemwambia sitoweza onana naye sababu nipo tight sana.but anasema nim release ili aendelee na maisha anateseka kwa kuwa yeye tu ndo kabaki hajaolewa.kapoteza many friends. Wanapoolewa yeye anakuwa tena si rafiki yao.

Binafsi sijui namna ya kumsaidia. Natamani aolewe apate maisha yake ne mumewe. But nifanyeje kumsaidia? Sielewi.
Mweleze kuwa umemsanehe, na kweli umsamehe. Kusamehe sio kurudiana ila ni kumwachilia moyoni na usiwe na kinyongo wala hasira naye, tena hata mkionana. Kama huwezi, Mungu anaweza kukusaidia.
Kusamehe ni faida yako wewe wala si yake tu. Usiposamehe sio tu Mungu hatakusamehe, bali hali hiyo ya uchungu inaweza ikaendelea kukusumbua kwa mahusiano mengine.
Tafuta muda ikiwezekana mweleze msimamo wako. Kuogopa kutoonana sio suluhisho, kwa kuwa siku moja mnaweza kukutana. Dawa ni msamaha unaotoka moyoni, kwa Mungu yote yawezekana.
 
Speak to your heart young man.

Forgive her.

Search your heart huenda kuna grudge umeishikilia mpaka leo na hujaiachia bado.

Kingine huenda anakutana na watu wazuri tu. But ameshajiwekea yardstick ya kipimo Cha mapenzi kwa kumpima kila mtu anaejitokeza kupitia kwako. Kwa maana ya kila anaekuja anamfananisha na wewe na kumtaka awe kama wewe so hadumu na mtu yeyote


Ila kuhusu kurudiana. Msirudiane. It won't work out. Hata mkijaribu kuonjana muone kama spark badi ipo haitanoga.

Forgive her and let her go.
 
Back
Top Bottom