Mapondo Mapoka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 269
- 121
Halafu hawa viumbe huwa hawapotezi namba za sim hata mkorofishane vpMwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.
Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa naye Dar.
Kuna pointi hapaWewe utakuwa jalala la taka dada kadanga weee kachoka sasa analirudia jalala
Nimependa hii nitatumia busara hii.Mweleze kuwa umemsanehe, na kweli umsamehe. Kusamehe sio kurudiana ila ni kumwachilia moyoni na usiwe na kinyongo wala hasira naye, tena hata mkionana. Kama huwezi, Mungu anaweza kukusaidia.
Kusamehe ni faida yako wewe wala si yake tu. Usiposamehe sio tu Mungu hatakusamehe, bali hali hiyo ya uchungu inaweza ikaendelea kukusumbua kwa mahusiano mengine.
Tafuta muda ikiwezekana mweleze msimamo wako. Kuogopa kutoonana sio suluhisho, kwa kuwa siku moja mnaweza kukutana. Dawa ni msamaha unaotoka moyoni, kwa Mungu yote yawezekana.
Sio wa Machame kweli huyo? To be honest huyo ndio karma sasaMwaka 2010 nlipata msichana ambaye alikuwa akisoma udsm. Huyu dada wazazi wake walikuwa mkoani. Mwaka 2011 akamaliza. Hapa Dar hakuwa karibu sana na ndugu zake.alipomaliza chuo mwaka huo akawa anataka aishi Dar.
Nikampangia chumba mimi nlikuwa kikazi Arusha. Ilikuwa haipiti miezi mitatu nakuja Dar tunakaa pamoja na likizo yote nakuwa
Mkuu we na yule mapikipiki mlimalizanaje..[emoji1][emoji1][emoji1]Poleni sana...
Kama mlishamalizana mambo yake muachie mwenyewe...