Kuna msg imeingia kwenye simu ya mke wangu ikitoka kwa wifi yake (mke wa mdogo wake) . Clearly ni ya mapenzi akisema wataonana na bla bla zingine; na leo kweli ameamka anasafiri kwenda mjini? Msg ilikuja kwa bahati mbaya maana alikuwa anaongea na mke wangu muda huo huo, hivyo alituma kwa namba ya mke wangu instead ya mwanaume.
Tatizo: Mke wangu anataka kuiforward kwa mdogo wake. Nimekataa maana itavunja ndoa. Mke wangu anasema atakuja kuwaulia ndugu yao kwa ukimwi maana it seems siyo mwaminifu! Nimemwambia anipe muda nitafakari how to handle this situation. Concern ya mke wangu ni ndugu yao kupata magonjwa hasa UKIMWI.
Nimpe ushauri gani?
Tatizo: Mke wangu anataka kuiforward kwa mdogo wake. Nimekataa maana itavunja ndoa. Mke wangu anasema atakuja kuwaulia ndugu yao kwa ukimwi maana it seems siyo mwaminifu! Nimemwambia anipe muda nitafakari how to handle this situation. Concern ya mke wangu ni ndugu yao kupata magonjwa hasa UKIMWI.
Nimpe ushauri gani?