HESHIMA NA IWE KWENU WAKUU.
Miezi mitatu imepita sasa tangu watu wasiojulikana kuvamia kibanda changu cha biashara mara 2 ndani ya mwezi mmoja na kufanikiwa kuiba mali zenye thamani kubwa hali iliyopelekea nifikiri mbali sana baada ya kushirikiana na uongozi wa kijiji na kushindwa kuwapata wahalifu hao niliamua nijiingize kwenye imani zetu zile ndipo nilipoenda kwa mganga wa jadi aliyepo kijijini hapahapa ambapo nilipofika kwa huyo mganga kwa utaalamu wake aliniambia kuwa mwizi huyo ni workmate wangu aliyemtaja kwa jina na sasa huyo workmate ni ndugu kabisa na huyo mganga(Huyo workmate wangu ni mzawa wa kijiji hiki ninachofanyia kazi).Mganga akadai kuwa haijalishi kuwa ana undugu na huyo mtu yeye hafugi ubovu hivyo atanisaidia,ambapo aliniagiza nipeleke baadhi ya vitu ili zoezi lifanyike si la kuua bali kumwita huyo mwenzangu ili tukayamalize.Kumbe baada ya zoezi hilo kufanyika,mganga alinisaliti na kwenda kumueleza huyo ndugu yake yaliyoyojiri na sasa nimeshitakiwa hivyo.
KISHERIA NAPONAJE HAPA MWENZENU?
Miezi mitatu imepita sasa tangu watu wasiojulikana kuvamia kibanda changu cha biashara mara 2 ndani ya mwezi mmoja na kufanikiwa kuiba mali zenye thamani kubwa hali iliyopelekea nifikiri mbali sana baada ya kushirikiana na uongozi wa kijiji na kushindwa kuwapata wahalifu hao niliamua nijiingize kwenye imani zetu zile ndipo nilipoenda kwa mganga wa jadi aliyepo kijijini hapahapa ambapo nilipofika kwa huyo mganga kwa utaalamu wake aliniambia kuwa mwizi huyo ni workmate wangu aliyemtaja kwa jina na sasa huyo workmate ni ndugu kabisa na huyo mganga(Huyo workmate wangu ni mzawa wa kijiji hiki ninachofanyia kazi).Mganga akadai kuwa haijalishi kuwa ana undugu na huyo mtu yeye hafugi ubovu hivyo atanisaidia,ambapo aliniagiza nipeleke baadhi ya vitu ili zoezi lifanyike si la kuua bali kumwita huyo mwenzangu ili tukayamalize.Kumbe baada ya zoezi hilo kufanyika,mganga alinisaliti na kwenda kumueleza huyo ndugu yake yaliyoyojiri na sasa nimeshitakiwa hivyo.
KISHERIA NAPONAJE HAPA MWENZENU?