Nimeshituka nimekula supu ya mbwa leo

Nimeshituka nimekula supu ya mbwa leo

Wewe si ulisema ulikula nyama ya mamba na simba?
Sasa hiyo ya mbwa imekushindaje we mchawi mchawi?...
Hapana mkuu unajua mamba na mbwa ni vitu viwili tofaut
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana

Leo nilitoka home asubuhi sana kuna sehemu nilikuwa na promise zangu za hapa na pale na watu wa hapa na pale

Sasa kuna muda fulani njaa ikaniuma sana ikanibidi niingie kwenye kimugahawa fulani hivi nipate supu

Lakini wakati nakunywa ile supu yaani ladha yake ikanishinda kidogo nikawa naona tofaut kabisa na supu zingine aisee, kwanza nyama yake ni nyeus nyeus flan hivi alafu haisomek sijui imebanikwa sijui haijabanikwa

Sasa bahati mbaya kumbe ngozi hawakuchuna vizuri nikaona kwenye mnofu kama manyoya ya mbwa aisee nilichoka hapo hapoa na nikashiba hapo hapo na hapo hapo nikalipa na hapo hapo nikasepa zangu na hapo hapo sikuwambia kitu nikajiondokea zangu

Tuwen makini jamani tusije tukalishwa supu za fisi

LONDON BABY
Upo njombe nini mkuu?
 
Kibaiolojia, supu ya mbwa na ya mbuzi zina tofauti gani ya maana?
 
Sasa imekushinda nini hiyo supu ya mbwa we kila siku unakuja na mambo za kula nyama za watu mara fisi imekuwaje leo kwa mbwa au sababu ulikuwa na akili timamu sio zile za uchawi
Kule si huwa ni gambosh hata akili huwa ni za kigambo gambosh
 
Na usijishangae ukirudi home ukajikuta unazurura tu nje[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom