Nimeshitushwa sana na kauli ya CCM ikionyesha kuwa South Africa au Namibia wasingekuwa huru hadi leo, tungeanzisha uhusiano wa kibalozi na Makaburu!

Nimeshitushwa sana na kauli ya CCM ikionyesha kuwa South Africa au Namibia wasingekuwa huru hadi leo, tungeanzisha uhusiano wa kibalozi na Makaburu!

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia.

Akihojiwa na mwandishi Khalifa Said, Kanali Lubinga alitamka bila kupepesa macho kwamba Tanzania bado ina msimamo wa kusaidia nchi zinazotawaliwa kimabavu na kunyanyaswa na mataifa mengine, kama vile Palestina dhidi ya Israel na Polisario dhidi ya Morocco. Hata hivyo msimamo wa sasa wa CCM na serikali yake ni kwamba tunabadilika na wakati, kwamba tutaendelea kupinga utawala wa mabavu dhidi ya Polisario na Palestina, lakini hilo halitatuzuia kuanzisha uhusiano wa kibalozi na nchi zinazowakandamiza, kwa kuwa kwanza kuna maslahi ya kiuchumi. na pili kuna faida ya kuwa karibu na adui yako.

Kwa mtazamo huu wa CCM, ni sawa na kuitangazia dunia nzima, pamoja na nchi kama Afrika Kusini na Namibia, kwamba kama wasingekuwa wamefanikiwa kuuangusha utawala wa kimabavu na kibaguzi wa Makakaburu, leo hii Tanzania ingeanzisha uhusian wa kibalazi na makaburu na kuwakaribisha kufungua ofisi ya ubalazoi nchini, huku bado tukiendelea kuwasaidia Afrika Kusini na Namibia kupigania uhuru!

Kanali Ngumbalu alienda mbali ya hapo. Alipoulizwa kuhusu Tanzania kuunga mkono na kushiriki kushangilia Marekani kuhamishia ubalozi wake toka Tel Aviv kwenda Jerusalaem kinyume na azimio la Umoja wa Mataifa, pale ambapo Waziri wa Mambo ya Nje wa wakati huo Dr. Mahiga aliposhiriki na Trump katika sherehe hiyo, Kanali Lubinga alitoa msimamo kwamba Tanzania ina sera zake (ambazo wakati mwingine zitapingana na maazimio ya Umoja wa Mataifa), sawa na hili suala la kuiunga mkono Marekani kinyume na Azimio la Umoja wa Mataifa katika suala la Jerusalem!

Nimeshituka sana na msimamo huu wa serikali ya awamu ya tano chini ya CCM. Kwa mara nyingine nimeshukuru kwamba Nyerere alikufa kabla ya kuona aibu kama hiii, maana sijui angeficha wapi uso wake. Ni aibu ambaye ingeweza kumuua Nyerere kwa mshituko. Na kama waswahili wanavyosema, Nyerere must be turning in his grave kwa ajili ya vitu kama hivi toka chama cha siasa alichokiasisi!

Ningetamani sana kusikiliza haya mahojiano na Prof Kabudi, na niwe na swali moja tu kwake; really, we can stoop so low on foreign policy?

Source:

 
Moderators kindly correct the typo in the title, ni kibalozi sio kbalazi
 
Sasa mbona wao wanaitawala kimabavu Zanzibar mpaka leo?
Hayo ni maoni yako au ya Zanzibar kwa ujumla? Kama ni kweli Zanzibar inatawaliwa kimabavu kinyume na sheria za kimataifa dhidi ya nchi moja kutawala nchi nyingine, basi nendeni UN mkawasilishe petition ya kudai uhuru na kama mna haki kisheria UN itapitisha azimio la uhuru wa Zanzibar. Kama kukiwa na hilo azimio na mkaendelea kutawaliwa, chukueni silaha mjikomboe.UN ikipinga petition yenu kaeni kimya, kuendelea kupiga kelele ni uhaini.
 
Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia.

Akihojiwa na mwandishi Khalifa Said, Kanali Lubinga alitamka bila kupepesa macho kwamba Tanzania bado ina msimamo wa kusaidia nchi zinazotawaliwa kimabavu na kunyanyaswa na mataifa mengine, kama vile Palestina dhidi ya Israel na Polisario dhidi ya Morocco. Hata hivyo msimamo wa sasa wa CCM na serikali yake ni kwamba tunabadilika na wakati, kwamba tutaendelea kupinga utawala wa mabavu dhidi ya Polisario na Palestina, lakini hilo halitatuzuia kuanzisha uhusiano wa kibalozi na nchi zinazowakandamiza, kwa kuwa kwanza kuna faida ya kuwa karibu na adui yako.

Kwa mtazamo huu wa CCM, ni sawa na kuitangazia dunia nzima, pamoja na nchi kama Afrika Kusini na Namibia, kwamba kama wasingekuwa wamefanikiwa kuuangusha utawala wa kimabavu na kibaguzi wa Makakaburu, leo hii Tanzania ingeanzisha uhusian wa kibalazi na makaburu na kuwakaribisha kufungua ofisi ya ubalazoi nchini, huku bado tukiendelea kuwasaidia Afrika Kusini na Namibia kupigania uhuru!

Kanali Ngumbalu alienda mbali ya hapo. Alipoulizwa kuhusu Tanzania kuunga mkono na kushiriki kushangilia Marekani kuhamishia ubalozi wake toka Tel Aviv kwenda Jerusalaem kinyume na azimio la Umoja wa Mataifa, pale ambapo Waziri wa Mambo ya Nje wa wakati huo Dr. Mahiga aliposhiriki na Trump katika sherehe hiyo, Kanali Lubinga alitoa msimamo kwamba Tanzania ina sera zake (ambazo wakati mwingine zitapingana na maazimio ya Umoja wa Mataifa), sawa na hili suala la kuiunga mkono Marekani kinyume na Azimio la Umoja wa Mataifa katika suala la Jerusalem!

Nimeshituka sana na msimamo huu wa serikali ya awamu ya tano chini ya CCM. Kwa mara nyingine nimeshukuru kwamba Nyerere alikufa kabla ya kuona aibu kama hiii, maana sijui angeficha wapi uso wake. Ni aibu ambaye ingeweza kumuua Nyerere kwa mshituko. Na kama waswahili wanavyosema, Nyerere must be turning in his grave kwa ajili ya vitu kama hivi toka chama cha siasa alichokiasisi!

Ningetamani sana kusikiliza haya mahojiano na Prof Kabudi, na niwe na swali moja tu kwake; really, we can stoop so low on foreign policy?

Source:


Kuna mwanaccm mmoja alinisaidia sana kuelewa kinachoendelea sasa hivi kuhusiana na CCM. Alinieleza kwamba CCM ya sasa awamu ya tano ni tofauti na ilivyokuwa awamu zilizopita. CCM iliundwa katika mwavuli wa vyama vya Ukombozi. CHAMA CHA MAPINDUZI. CCM ya leo ni CHAMA CHA MAGUFULI. hicho kinachoitwa "mabadiliko ya mtazamo" wala siyo sera ya CCM iliyofanyiwa mabadiliko yaliyo rasmi. Haya ni mawazo na msimamo wa Magufuli mwenyewe, kwa sababu hiki sasa ni chama chake binafsi, mali yake binafsi. Nyerere hata alipoweka mbele maoni yake binafsi, aliyaweka mbele ya vikao rasmi. Kuna mambo ambayo mwalimu aliyapenda, lakini yakakataliwa na vikao. Mfano alipenda Salimu Ahmed Salimu amrithi, lakini likakataliwa na kikao. Na mwalimu alikubaliana na maamuzi.
Magufuli, kwa upande mwingine, amenukuliwa akitamka hatua atakazochukua dhidi ya wanachama wa CCM, ambayo yeye kama Mwenyekiti hana mamlaka ya kuyaamua mwenyewe. Mfano kuwafukuza wanachama waliokuwa na "imani na Lowasa", au kuwafukuza wabunge 17 waliokuwa wanahoji hatua ya serikali ya Magufuli kupora fedha za wakulima wa korosho.

CCM ya sasa imepoteza dira, kama alivyosema Membe. Ni gari bovu linakwenda mbio aliyekalia kiti cha dereva hajui kuendesha.
 
Kuna mwanaccm mmoja alinisaidia sana kuelewa kinachoendelea sasa hivi kuhusiana na CCM. Alinieleza kwamba CCM ya sasa awamu ya tano ni tofauti na ilivyokuwa awamu zilizopita. CCM iliundwa katika mwavuli wa vyama vya Ukombozi. CHAMA CHA MAPINDUZI. CCM ya leo ni CHAMA CHA MAGUFULI. hicho kinachoitwa "mabadiliko ya mtazamo" wala siyo sera ya CCM iliyofanyiwa mabadiliko yaliyo rasmi. Haya ni mawazo na msimamo wa Magufuli mwenyewe, kwa sababu hiki sasa ni chama chake binafsi, mali yake binafsi. Nyerere hata alipoweka mbele maoni yake binafsi, aliyaweka mbele ya vikao rasmi. Kuna mambo ambayo mwalimu aliyapenda, lakini yakakataliwa na vikao. Mfano alipenda Salimu Ahmed Salimu amrithi, lakini likakataliwa na kikao. Na mwalimu alikubaliana na maamuzi.
Magufuli, kwa upande mwingine, amenukuliwa akitamka hatua atakazochukua dhidi ya wanachama wa CCM, ambayo yeye kama Mwenyekiti hana mamlaka ya kuyaamua mwenyewe. Mfano kuwafukuza wanachama waliokuwa na "imani na Lowasa", au kuwafukuza wabunge 17 waliokuwa wanahoji hatua ya serikali ya Magufuli kupora fedha za wakulima wa korosho.

CCM ya sasa imepoteza dira, kama alivyosema Membe. Ni gari bovu linakwenda mbio aliyekalia kiti cha dereva hajui kuendesha.
Hivi ina maana wanachama wa CCM hawana kabisa la kufanya? Kwa nini wanakubali mtu mmoja kuwaendesha kiasi hiki hadi mahali ambapo chama kinadhalilishwa?
 
Usipoteze muda wako na CCM, chama hiki kimeshakata pumzi. Kilichobaki ni kutapatapa tu.

Kolimba alishaweka wazi kuwa CCM haina DIRA. Fikiria kuwa KOMPAS kaishika Bashite. Pazuri hapo!!!!!!!

Habari ya mjini ni ACT - Wazalendo.
 
Kuna mwanaccm mmoja alinisaidia sana kuelewa kinachoendelea sasa hivi kuhusiana na CCM. Alinieleza kwamba CCM ya sasa awamu ya tano ni tofauti na ilivyokuwa awamu zilizopita. CCM iliundwa katika mwavuli wa vyama vya Ukombozi. CHAMA CHA MAPINDUZI. CCM ya leo ni CHAMA CHA MAGUFULI. hicho kinachoitwa "mabadiliko ya mtazamo" wala siyo sera ya CCM iliyofanyiwa mabadiliko yaliyo rasmi. Haya ni mawazo na msimamo wa Magufuli mwenyewe, kwa sababu hiki sasa ni chama chake binafsi, mali yake binafsi. Nyerere hata alipoweka mbele maoni yake binafsi, aliyaweka mbele ya vikao rasmi. Kuna mambo ambayo mwalimu aliyapenda, lakini yakakataliwa na vikao. Mfano alipenda Salimu Ahmed Salimu amrithi, lakini likakataliwa na kikao. Na mwalimu alikubaliana na maamuzi.
Magufuli, kwa upande mwingine, amenukuliwa akitamka hatua atakazochukua dhidi ya wanachama wa CCM, ambayo yeye kama Mwenyekiti hana mamlaka ya kuyaamua mwenyewe. Mfano kuwafukuza wanachama waliokuwa na "imani na Lowasa", au kuwafukuza wabunge 17 waliokuwa wanahoji hatua ya serikali ya Magufuli kupora fedha za wakulima wa korosho.

CCM ya sasa imepoteza dira, kama alivyosema Membe. Ni gari bovu linakwenda mbio aliyekalia kiti cha dereva hajui kuendesha.
Ni habari njema kabisa. Kule kwetu tunaamini kuwa: Ukiona MTU mzima, Mzee mwenye umaarufu wa siku nyingi, anazidisha vituko kwa kauli na kwa matendo ya ajabu, yasiotegemewa kwa familia yake na katika jamii yake UJUE ndio WASALAM, anaondoka, safari ya kuelekea kuzimu ishaanza. AMEN
 
Hivi ina maana wanachama wa CCM hawana kabisa la kufanya? Kwa nini wanakubali mtu mmoja kuwaendesha kiasi hiki hadi mahali ambapo chama kinadhalilishwa?
Tatizo sio tu wanaccm. Tatizo ni sisi watanzania. Hatuna ujasiri wa kusimamia na kushughulikia matatizo yetu wenyewe. Tunataka wengine watufanyie homework yetu. Lakini kwa mujibu wa historia, ipo siku kutakuwa na ctitical mada ya wale wanaotaka mabadiliko ya kweli, hapo mabadiliko makubwa yatatokea
 
Hata mm nawaunga mkono Leo hii afrika kusini wamekuwa wabaguzi kuliko wakati wa utawala wa weupe hao palestina ndio walimuunga mkono Amini wakati Uganda anavamia Tanzania zaidi ya kupoteza rasilimali watu na fedha hizo nchi zimekuwa zikijali Mambo yao
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app

..na kabla ya hapo ccm walikuwa wanashangilia TL kupigwa risasi, na kusisitiza polisi wasifanye uchunguzi, na bunge lisimhudumie.
 
Usipoteze muda wako na CCM, chama hiki kimeshakata pumzi. Kilichobaki ni kutapatapa tu.

Kolimba alishaweka wazi kuwa CCM haina DIRA. Fikiria kuwa KOMPAS kaishika Bashite. Pazuri hapo!!!!!!!

Habari ya mjini ni ACT - Wazalendo.
Mkuu, ukilinganisha kipindi Kolimba alipotoa hiyo kauli na sasa, basi nadhani hata Kolimba is turning is his grave! Kama alidhani hali ilikuwa mbaya wakati huo, imagine sasa hivi!
 
Ikumbukwe kabla ya ugonjwa wa Corona haujafika Tanzania, Bavicha na chadema kwa ujumla walikuwa wakikesha mitandaoni wakiombea Corona ije ili wamkomoe na kumcheka rais Magufuli!.

Mwana jamii forum anayeitwa technically alileta Uzi humu akiombea na kushangaa kwa nini Corona haifiki haraka Tanzania!, Naam kama ilivyoandikwa aombacho mtu ndiyo hupewa, kama alivyoomba technically Corona imekuja Tanzania na hatua ya kwanza imeshambulia familia ya boss wake Freeman Mbowe!, nadhani sasa technically atakuwa anarukaruka kwa furaha sana huko aliko

Tuwaonye tu vijana wa chadema kuwa Mungu hana mchezo, mahaba yenu kwa Mbowe yasiwatoe ufahamu na kuanza kuiombea mabaya nchi mkidhani mnamkomoa rais Magufuli.
Sasa hivi mnamkejeli Makonda kwa kusema ni tasa mnasahau kuwa HalimaMdee ana miaka 45 na hana mtoto wala kutundikwa mimba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unafanya promotion au propaganda? Hii post yako inahusiana nini na hii thread?
 
Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia.

Akihojiwa na mwandishi Khalifa Said, Kanali Lubinga alitamka bila kupepesa macho kwamba Tanzania bado ina msimamo wa kusaidia nchi zinazotawaliwa kimabavu na kunyanyaswa na mataifa mengine, kama vile Palestina dhidi ya Israel na Polisario dhidi ya Morocco. Hata hivyo msimamo wa sasa wa CCM na serikali yake ni kwamba tunabadilika na wakati, kwamba tutaendelea kupinga utawala wa mabavu dhidi ya Polisario na Palestina, lakini hilo halitatuzuia kuanzisha uhusiano wa kibalozi na nchi zinazowakandamiza, kwa kuwa kwanza kuna faida ya kuwa karibu na adui yako.

Kwa mtazamo huu wa CCM, ni sawa na kuitangazia dunia nzima, pamoja na nchi kama Afrika Kusini na Namibia, kwamba kama wasingekuwa wamefanikiwa kuuangusha utawala wa kimabavu na kibaguzi wa Makakaburu, leo hii Tanzania ingeanzisha uhusian wa kibalazi na makaburu na kuwakaribisha kufungua ofisi ya ubalazoi nchini, huku bado tukiendelea kuwasaidia Afrika Kusini na Namibia kupigania uhuru!

Kanali Ngumbalu alienda mbali ya hapo. Alipoulizwa kuhusu Tanzania kuunga mkono na kushiriki kushangilia Marekani kuhamishia ubalozi wake toka Tel Aviv kwenda Jerusalaem kinyume na azimio la Umoja wa Mataifa, pale ambapo Waziri wa Mambo ya Nje wa wakati huo Dr. Mahiga aliposhiriki na Trump katika sherehe hiyo, Kanali Lubinga alitoa msimamo kwamba Tanzania ina sera zake (ambazo wakati mwingine zitapingana na maazimio ya Umoja wa Mataifa), sawa na hili suala la kuiunga mkono Marekani kinyume na Azimio la Umoja wa Mataifa katika suala la Jerusalem!

Nimeshituka sana na msimamo huu wa serikali ya awamu ya tano chini ya CCM. Kwa mara nyingine nimeshukuru kwamba Nyerere alikufa kabla ya kuona aibu kama hiii, maana sijui angeficha wapi uso wake. Ni aibu ambaye ingeweza kumuua Nyerere kwa mshituko. Na kama waswahili wanavyosema, Nyerere must be turning in his grave kwa ajili ya vitu kama hivi toka chama cha siasa alichokiasisi!

Ningetamani sana kusikiliza haya mahojiano na Prof Kabudi, na niwe na swali moja tu kwake; really, we can stoop so low on foreign policy?

Source:



Kama Lubinga kasema hivyo(siamini kabisa), basi bado ni mtoto mdogo wa juzi.
Vita ya ukombozi hauwahikuiona.
U Luteni Kanali wake utakuwa wa uenezi.
 
Hata mm nawaunga mkono Leo hii afrika kusini wamekuwa wabaguzi kuliko wakati wa utawala wa weupe hao palestina ndio walimuunga mkono Amini wakati Uganda anavamia Tanzania zaidi ya kupoteza rasilimali watu na fedha hizo nchi zimekuwa zikijali Mambo yao
Mkuu South Afrika ikoje leo haiwezi ikawa ndio determinant ya sera yetu ya mambo ya nje iweje. Inabidi uwe mature katika kufikiri zaidi ya hapo.

Hatukujihusisha na ukombozi wa nchi za Africa ili nchi tulizozisaidia zije ziwakubali watu wetu nchini mwao au kutowabagaua. Sera yetu ya ukombozi ilijengwa katika misingi ya usawa, uhuru na utu wa mwanadamu bila kujali rangi yake, imani yake nk. Haipaswi kubadilika kwa kuwa leo kuna generation ndani ya South Afrika ambayo iko xenophobic. After all, hilo ni tatizo ndani ya South Africa, kwa kuwa hao walio xenophobic Afrika Kusini wako xenophobic kwa mataifa yote sio tu yale yaliyowasaidia kwenye ukombozi wa nchi zao.

Na kama CCM wamebadilisha sera yetu ya mambo ya nje hasa kwa mambo ya ukombozi kwa sababu South Afrika tuliowasaidia wamekuwa xenophobic basi CCM ni wajinga na wapumbavu. Huo ndio ukweli.
 
Kama Lubinga kasema hivyo(siamini kabisa), basi bado ni mtoto mdogo wa juzi.
Vita ya ukombozi hauwahikuiona.
U Luteni Kanali wake utakuwa wa uenezi.
Hahaha, Mkuu, Lubinga aliyosema ni mabaya kuliko mimi nilivyoyaandika. Inabidi uisikilize hiyo clip. Lakini nakuonya ufanye hivyo kabla ya kula, maana unaweza kutapika kwa ajili ya mambo anayosema!
 
Hahaha, Mkuu, Lubinga aliyosema ni mabaya kuliko mimi nilivyoyaandika. Inabidi uisikilize hiyo clip. Lakini nakuonya ufanye hivyo kabla ya kula, maana unaweza kutapika kwa ajili ya mambo anayosema!
Mkuu mimi nimekua wakati wa ukombozi wa Kusini mwa Arika.
Hivyo ama Lubinga anasema kama ulivyosema, nina wasi wasi mkuwa sana na credentials zake.
 
Mkuu mimi nimekua wakati wa ukombozi wa Kusini mwa Arika.
Hivyo ama Lubinga anasema kama ulivyosema, nina wasi wasi mkuwa sana na credentials zake.
Anadai ni mzoefu alikuwapo toka enzi hizo akiwa mwalimu wa siasa jeshini. Ndio maana nikaona kweli kweli kama mtu mwenye credentials hizo kama leo anaweza kuongea urojo kama huu, CCM wamefilisika kisera na Nyerere hata nikamhurumia Nyerere japo alishakufa!

Yaani statements zake zinaweza kuwa zimenitia kichefuchefu kikubwa kuliko zote za wanasiasa mwaka huu. Mimi pia nimekua wakati wa harakati za ukombozi, na naelewa sana dhana ya kusaidia watu katika unyanyasaji na mtu au taifa jingine. Nillimba mchaka mchaka chinja, kaburu matata ua, ua.

In fact, nikikumbuka msimamo wa Nyerere kuhusu Biafra nchini Nigeria, niliwahi kuwaambia Waafrika Kusini kwamba ubaguzi dhidi ya mataifa mengine watauendeleza hadi kuwa ubaguzi dhidi ya wazungu ndani ya Afrika Kusini. Nikasema ninaamini kwa dhati Nyerere hakuiongoza Tanzania kuwasaidia dhidi ya Makaburu kwa kuwa wao ni weusi kama sisi Watanzania na makaburu ni wazungu. Siku hao weusi tuliowasaidia nchini Afrika Kusini wakianza kuwabagua na kuwanyanyasa wazungu wa Afrika Kusini kwa kuwa tu wao ni wazungu, basi zile kambi za kupigania uhuru ANC na PAC walizokuwa wakitumia Tanzania tutawapa wazungu wa Afrika Kusini katika mampambano yao dhidi ya ubaguzi wa mtu mweusi kwa mzungu ndani ya Afrika Kusini. Nikawaambia waombe mambo mawili; eidha wasibague wazungu, na wakibagua nisije kuwa raisi wa Tanzania!
 
Anadai ni mzoefu alikuwapo toka enzi hizo akiwa mwalimu wa siasa jeshini. Ndio maana nikaona kweli kweli kama mtu mwenye credentials hizo kama leo anaweza kuongea urojo kama huu, CCM wamefilisika kisera na Nyerere hata nikamhurumia Nyerere japo alishakufa!

Yaani statements zake zinaweza kuwa zimenitia kichefuchefu kikubwa kuliko zote za wanasiasa mwaka huu. Mimi nimekua wakati wa harakati za ukombozi, na naelewa sana dhana ya kusaidia watu katika unyanyasaji na mtu au taifa jingine.

In fact niliwahi kuwaambia Waafrika Kusini kwamba ubaguzi dhidi ya mataifa mengine watauendeleza hadi kuwa ubaguzi dhidi ya wazungu ndani ya Afrika Kusini. Nikasema ninaamini kwa dhati Nyerere hakuiongoza Tanzania kuwasaidia dhidi ya Makaburu kwa kuwa wao ni weusi kama sisi Watanzania na makaburu ni wazungu. Siku hao weusi tuliowasaidia nchini Afrika Kusini wakianza kuwabagua na kuwanyanyasa wazungu wa Afrika Kusini kwa kuwa tu wao ni wazungu, basi zile kambi za kupigania uhuru ANC na PAC walizokuwa wakitumia Tanzania tutawapa wazungu wa Afrika Kusini katika mampambano yao dhidi ya ubaguzi wa mtu mweusi kwa mzungu ndani ya Afrika Kusini. Nikawaambia waombe mambo mawili; eidha wasibague wazungu, na wakibagua nisije kuwa raisi wa Tanzania!
Jeshi letu kuna tunao lifahamu vizuri sana na mlengo wake wa kisiasa enzi hizo.
Huyo jamaa kama sasa hivi ni Luteni Kanali basi miaka ya Mwalimu alikuwa Lance Corporal au Service man.
Na hawezi kuwa alipewa eneo lolote kufundisha kutokana na cheo chake kidogo. .
Hapo anadanganya.
Kuwa angekuwa na mawazo ya kisiasa kuweza kushirikiana na mkaburu, ilikuwa mwiko, wakati ule na hata wale wa zamani jeshini mpaka leo hawaamini makaburu.
Nawafahamu wanajeshi wetu (sasa wastaafu) waliopigana na wengine kufia misituni wakipigana pamoja na SWAPO, FRELIMO, ANC.

Ni matusi kusema leo mtu anamsimamo wa kuwapendelea makburu ambao walitulaani na kutuita manyani weusi.
 
..CCM ya Magufuli inafanana na chama cha Mobutu Sese Seko kilichokuwa kikiitwa Popular Movement of the Revolution.
 
Back
Top Bottom