hahahaha Humchukii mtu wala humpendi ila unamuanzishia uzi!!!??Sasa wewe aliyekwambia nina chuki na huyo kijana nani?
Kuwa basi muelewa rudi usome Kichwa cha uzi usitake kuongea vile unavyojua ili mradi umepewa nafasi ya kuongea.
Kwani kuanzisha Uzi lazima uwe unapenda mhusika au kumchukia! Kwahiyo wewe unatetemea kwa vile unampenda sio?hahahaha Humchukii mtu wala humpendi ila unamuanzishia uzi!!!??
Ulimwengu wa Mitindo na mavazi umetamalaki sana siku za hivi usoni, Muda mwingine ukitaka kununua Nguo lazima uikague sana usije ukavaa ya kike ile hali wewe ni Mwanaume.
Katika pitapita zangu leo naifumania hii Picha ya Young Dee nimejikuta napatwa na dukuduku kwa mtindo wake wa Nywele.
Huo Msuko sio wa Kike! View attachment 832690
Sielewi maana ya kutetemea.Kwani kuanzisha Uzi lazima uwe unapenda mhusika au kumchukia! Kwahiyo wewe unatetemea kwa vile unampenda sio?
Sielewi maana ya kutetemea.
Ila siku nyingine ukikutana na mmasai wa kiume kasuka njoo tena uanzishe uzi wa kushtuka kumuona mmasai kasuka.
Hahahahahaha
Nikisema nimesoma African World History: Pre Colonial Period na African World History: From Colonialism and After.Nilimaanisha kumtetea.
Umewahi kusoma asili na tamaduni za makabila hapa nchini?
Nikisema nimesoma African World History: Pre Colonial Period na African World History: From Colonialism and After.
Hivyo najua nadharia za uumbwaji binadamu na walivyosambaa mabara yote.
Inatosha?
Meneja wake wa mwisho anasema huyo dogo huwa anapigwa miti kinyama. Ndio business inayodaiwa kumeweka mjini kwa sasa.
Ndugu yangu nimekuonyesha nilichosoma nimeuliza kama kinatosha ungenijibu tu kua hakitoshi au kinatosha kisha unaendelea na hoja zingine kama zina mashiko zitaeleweka tu.Mbona unakwepa nimeuliza umesoma tamaduni za makabila mbalimbali ya hapa Nchini? Jibu ndio au hapana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Dah kazi ipo tena sio ndogo, Nilimwona mwanzo nikajua ni Nandy.
Nlikua na mwanangu Coco beach akamuona mwanaume amesuka, nlipata tabu sana na maswali why mwanaume amesukaDah kazi ipo tena sio ndogo, Nilimwona mwanzo nikajua ni Nandy.
Kama hoja yako vijana wa siku hizi tunaharibika.
R Kelly alisuka.
2 Pac alitoga sikio.
Usher Raymond alisuka.
Snoop Lee alisuka.
Black Skull alisuka.
T.I.D alisuka.
Dully Sykes alisuka.
Zahir Zoro nywele anaweka dawa mpaka leo.
Babu yenu sir Elton tunajua anachofanya.
Msanii akisuka huwezi ukanuna ni kazi yake inamtaka awe hivyo.
Sasa zinakuja nyuzi za kulalamika wasanii wanavaa vikuku mara wanatoboa masikio mara young d kasuka wabongo bwana tuna shida sana.
Mi ni mlinzi wa klabu nakutana nao kila siku.Ushatuona wabongo si ndio?? Wewe unaona fahari kuwataja hao?? Je, akianza kuvua nguo hadi za ndani utamsifia kuwa ni usanii?? Huwezi kumtetea kwa kuwataja wengine waliofanya hivyo. Mleta mada amesema; Je, tutaweza kutofautisha kati ya me na ke ikiwa tutaingia undani ka hivi?? We umemuonaje huyu jamaa?? Ghafula umekutana naye na labda ni night club na umeshaweka lights 2 hivi?? Ndio swali sio ni wanani walishawahi kusuka.