Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo peke yako? Ume enjoy mwenyewe......😀 😀 😀 😀 just did that
au ule ambao unakuja , baada ya kujishindilia makuku ya kutosha, dadeki huu sio mchezo, unaweza ukajikimbiaunaonuka ni ule
ngoma inanoga ufunge madirisha, unakaa unaisikilizia kwa mda, ukichoka unafungua pazia, feeling moja safi sanaUpo peke yako? Ume enjoy mwenyewe......
Na wanaume wengi wanapenda kushika mapumb.uh yao na kunusa mikono.
Msitupe mikono yenu hovyo hovyo kutusalimia.
Kwani wao wana pumbu? Mi pia nimededuce we ni mdada kwa komenti yakoKE wasitupe mikono kutusalimia mzee baba.
Asante kwa maarifa.Ushuzi unaonuka ni ule unao ashiria mzigo uko njiani. Ule wa ku burn calories haunuki sana
wanacheka ule ukungu mweupe wa kwenye makalio wanatamani waupake mkorogoWanawake wenye makalio makubwa wakiwa peke yao hujamba kwa kubinua makalio halafu wanachekaaaaa..
Kwa kweli wanawake wengi wanapenda sana kujamba. Yaani wanajisikia raha sanaNi jana tu kaja demu kuonana na kaka zake kajamba mbaya ile "prutututu"bila aibu mbele ya uso wangu nikaishia kuondoka 🙄
Mi mwenyewe nimeona we ni mdada kwa comment hii.Kwani wao wana pumbu? Mi pia nimededuce we ni mdada kwa komenti yako
SawaMi mwenyewe nimeona we ni mdada kwa comment hii.
Kuanzia sasa ntakua simpi mtu mkono kwa kisingizio cha Corona kumbe watu ndo wachafu ivi?!!!!. Loh![emoji15][emoji15][emoji15]Huwa najitahidi kutokutoa salamu za mikono ila “utaduni “ inabidi utoe tu kishingo upande
Kwa hizi sababu, nina kil sababu kuwa agressive kwenye kupewa mkono[emoji38][emoji38][emoji38]
We mbimdada kiboko![emoji23]Ushuzi unaonuka ni ule unao ashiria mzigo uko njiani. Ule wa ku burn calories haunuki sana
Mi nadhaniaga we ni MENa wanaume wengi wanapenda kushika mapumb.uh yao na kunusa mikono.
Msitupe mikono yenu hovyo hovyo kutusalimia.