Nimeshuhudia aisee Kilimo kinalipa sana

Nimeshuhudia aisee Kilimo kinalipa sana

Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea ndugu zangu wajomba na mashangazi vijijini huko ndani ndani.


Asikuambie mtu kilimo kinalipa. Majority ya wakazi wa kijijini niliofanikiwa kukutana nao wanalima small scale agriculture kwa kutumia jembe la mkono na ni kilimo local sana.


Ajabu ni kwamba watu wanaendesha maisha yao vizuri kabisa. Kuna vijana wa rika langu ambao wakati mimi nafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya sekondari, wao hawakubahatika hivo wakalazimika kubaki kijijini kulima.


Leo nimekutana nao wana maisha mazuri kwelikweli. Wote wamejenga nyumba zao. Unaweza kusema kujenga kijijini sio gharama kubwa. Lakini hawa vijana wametumia tofali za block kama mjini, nyumba zao zina dirisha za aluminium na wengine tiles kabisa. Vijana wengine kadhaa wamemiliki gari zao nzuri tu kama Toyota Noah na malori. Bodaboda ndo usiseme zipo nyingi.

Kuna jamaa mmoja tulisomaga naye shule ya msingi alikua kilaza kweli. Karibia kila mtihani alikua wa mwisho. Ni mtu aliyedharaulika mno. Leo nikakutana naye dukani kwake tukawa tunapiga stori. Ana mke na watoto. Amejenga nyumba nzuri. Pia ana Toyota Noah namba D mpya kabisa rangi nyeusi. Akaniambia mafanikio yote hayo ni kilimo na analima kilimo cha kienyeji. Sasa mimi niliyekuwa masomoni nikijiangalia sina hela naona aibu japo inashauriwa usijilinganishe na mtu bali jilinganishe wewe wa jana na wewe wa leo.

Sasa nimekaa nikatafakari kama hawa wakulima wa kienyeji wanapiga hela hivi, vipi akienda mtu alime maeneo yale yale kwa kilimo chenye tija? Alime kwa kufuata taratibu zote za kilimo? Si atatoboa upesi sana?


Wakulima wazoefu mkuje huku kutuambia kama kilimo kinalipa au la. Maana nilichokiona leo kimenitia nguvu sana nikalime.
Shughuri za kilimo na kiuchumi za kusimuliwa siku zote Huwa za mafanikio tu,utasikia kilimo Cha matikiti kinalipa,maesabu ya vikokotozi na cm,siku zote ni mazuri,
Reality ni kitu tofauti,unataka kujua shughuri fulani inalipa,ingia field,Hz story za mitandaoni,achana nqzo
 
Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea ndugu zangu wajomba na mashangazi vijijini huko ndani ndani.


Asikuambie mtu kilimo kinalipa. Majority ya wakazi wa kijijini niliofanikiwa kukutana nao wanalima small scale agriculture kwa kutumia jembe la mkono na ni kilimo local sana.


Ajabu ni kwamba watu wanaendesha maisha yao vizuri kabisa. Kuna vijana wa rika langu ambao wakati mimi nafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya sekondari, wao hawakubahatika hivo wakalazimika kubaki kijijini kulima.


Leo nimekutana nao wana maisha mazuri kwelikweli. Wote wamejenga nyumba zao. Unaweza kusema kujenga kijijini sio gharama kubwa. Lakini hawa vijana wametumia tofali za block kama mjini, nyumba zao zina dirisha za aluminium na wengine tiles kabisa. Vijana wengine kadhaa wamemiliki gari zao nzuri tu kama Toyota Noah na malori. Bodaboda ndo usiseme zipo nyingi.

Kuna jamaa mmoja tulisomaga naye shule ya msingi alikua kilaza kweli. Karibia kila mtihani alikua wa mwisho. Ni mtu aliyedharaulika mno. Leo nikakutana naye dukani kwake tukawa tunapiga stori. Ana mke na watoto. Amejenga nyumba nzuri. Pia ana Toyota Noah namba D mpya kabisa rangi nyeusi. Akaniambia mafanikio yote hayo ni kilimo na analima kilimo cha kienyeji. Sasa mimi niliyekuwa masomoni nikijiangalia sina hela naona aibu japo inashauriwa usijilinganishe na mtu bali jilinganishe wewe wa jana na wewe wa leo.

Sasa nimekaa nikatafakari kama hawa wakulima wa kienyeji wanapiga hela hivi, vipi akienda mtu alime maeneo yale yale kwa kilimo chenye tija? Alime kwa kufuata taratibu zote za kilimo? Si atatoboa upesi sana?


Wakulima wazoefu mkuje huku kutuambia kama kilimo kinalipa au la. Maana nilichokiona leo kimenitia nguvu sana nikalime.
Tangu lini kijijini kukawa na maisha mazuri? Acha blaa blaa..

Watakuwa wamejenga shelter sio nyumba
 
Wakuu kuna fursa hapa,zinahitajika tani 100 za ufuta mweupe na kwa bei nzuri utanunuliwa.DM iko wazi kwa wahusika.

ANGALIZO:UWE SERIOUS NA BIASHARA.
 
Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea ndugu zangu wajomba na mashangazi vijijini huko ndani ndani.


Asikuambie mtu kilimo kinalipa. Majority ya wakazi wa kijijini niliofanikiwa kukutana nao wanalima small scale agriculture kwa kutumia jembe la mkono na ni kilimo local sana.


Ajabu ni kwamba watu wanaendesha maisha yao vizuri kabisa. Kuna vijana wa rika langu ambao wakati mimi nafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya sekondari, wao hawakubahatika hivo wakalazimika kubaki kijijini kulima.


Leo nimekutana nao wana maisha mazuri kwelikweli. Wote wamejenga nyumba zao. Unaweza kusema kujenga kijijini sio gharama kubwa. Lakini hawa vijana wametumia tofali za block kama mjini, nyumba zao zina dirisha za aluminium na wengine tiles kabisa. Vijana wengine kadhaa wamemiliki gari zao nzuri tu kama Toyota Noah na malori. Bodaboda ndo usiseme zipo nyingi.

Kuna jamaa mmoja tulisomaga naye shule ya msingi alikua kilaza kweli. Karibia kila mtihani alikua wa mwisho. Ni mtu aliyedharaulika mno. Leo nikakutana naye dukani kwake tukawa tunapiga stori. Ana mke na watoto. Amejenga nyumba nzuri. Pia ana Toyota Noah namba D mpya kabisa rangi nyeusi. Akaniambia mafanikio yote hayo ni kilimo na analima kilimo cha kienyeji. Sasa mimi niliyekuwa masomoni nikijiangalia sina hela naona aibu japo inashauriwa usijilinganishe na mtu bali jilinganishe wewe wa jana na wewe wa leo.

Sasa nimekaa nikatafakari kama hawa wakulima wa kienyeji wanapiga hela hivi, vipi akienda mtu alime maeneo yale yale kwa kilimo chenye tija? Alime kwa kufuata taratibu zote za kilimo? Si atatoboa upesi sana?


Wakulima wazoefu mkuje huku kutuambia kama kilimo kinalipa au la. Maana nilichokiona leo kimenitia nguvu sana nikalime.
Imewachukua miaka mingapi kuwafikia hapo walipo nadhani hukuwauliza. Wanalima nini na kwa mfumo gani wa umwagiliaji?, kutegemea mvua au kuna chanzo cha maji visima, mito n.k.
Hizo bidhaa soko lake lipo wapi ambapo hupeleka?.
Mbali na kilimo wanajishughulisha na nini vingine kama vyanzo vya mapato? nadhani ndiyo maswali ya muhimu na uchunguzi wako ungelenga huko kwakuwa unaweza ukakuta yupo kwenye kilimo lkn anauza duka la jumla au ananunua ndizi au nazi kwa wakulima kulangua kisha anapeleka mjini ndiyo iliyompa mafanikio lkn kwakuwa humuona shambani pia ukadhani kilimo cha alizeti ekari tatu ndio kimemtoa kwa kujenga na kununua hadi Noah.
Jifunze kama unataka kulima anza na wewe kulima kidogo kama mara tatu usije na matokeo yako kichwani tikiti ekari moja unapata milioni 24 unaweza ukachezea za uso hata laki usipate.
 
Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea ndugu zangu wajomba na mashangazi vijijini huko ndani ndani.


Asikuambie mtu kilimo kinalipa. Majority ya wakazi wa kijijini niliofanikiwa kukutana nao wanalima small scale agriculture kwa kutumia jembe la mkono na ni kilimo local sana.


Ajabu ni kwamba watu wanaendesha maisha yao vizuri kabisa. Kuna vijana wa rika langu ambao wakati mimi nafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya sekondari, wao hawakubahatika hivo wakalazimika kubaki kijijini kulima.


Leo nimekutana nao wana maisha mazuri kwelikweli. Wote wamejenga nyumba zao. Unaweza kusema kujenga kijijini sio gharama kubwa. Lakini hawa vijana wametumia tofali za block kama mjini, nyumba zao zina dirisha za aluminium na wengine tiles kabisa. Vijana wengine kadhaa wamemiliki gari zao nzuri tu kama Toyota Noah na malori. Bodaboda ndo usiseme zipo nyingi.

Kuna jamaa mmoja tulisomaga naye shule ya msingi alikua kilaza kweli. Karibia kila mtihani alikua wa mwisho. Ni mtu aliyedharaulika mno. Leo nikakutana naye dukani kwake tukawa tunapiga stori. Ana mke na watoto. Amejenga nyumba nzuri. Pia ana Toyota Noah namba D mpya kabisa rangi nyeusi. Akaniambia mafanikio yote hayo ni kilimo na analima kilimo cha kienyeji. Sasa mimi niliyekuwa masomoni nikijiangalia sina hela naona aibu japo inashauriwa usijilinganishe na mtu bali jilinganishe wewe wa jana na wewe wa leo.

Sasa nimekaa nikatafakari kama hawa wakulima wa kienyeji wanapiga hela hivi, vipi akienda mtu alime maeneo yale yale kwa kilimo chenye tija? Alime kwa kufuata taratibu zote za kilimo? Si atatoboa upesi sana?


Wakulima wazoefu mkuje huku kutuambia kama kilimo kinalipa au la. Maana nilichokiona leo kimenitia nguvu sana nikalime.
Kalime mkuu huta jura lakini sio Mahindi ya ugali hayo faida kiduuuchu
 
Kalime mkuu huta jura lakini sio Mahindi ya ugali hayo faida kiduuuchu
Kama ni mahindi napo kulima ni mahindi gobwa gobwa maarufu ya kuchoma. Uzuri yanasoko na hayatumii gharama kubwa sana katika kuhudumia kama mazao mengine ya nyanya, tikiti, hoho n.k
 
Kwa wiki nzima sasa nimezunguka vijiji kadhaa nikifanya ziara ya kitafiti kuhusu kilimo. In fact tusiite ziara niseme tu nachunguzachunguza mustakabali wa kilimo kupitia kivuli cha kuwatembelea ndugu zangu wajomba na mashangazi vijijini huko ndani ndani.


Asikuambie mtu kilimo kinalipa. Majority ya wakazi wa kijijini niliofanikiwa kukutana nao wanalima small scale agriculture kwa kutumia jembe la mkono na ni kilimo local sana.


Ajabu ni kwamba watu wanaendesha maisha yao vizuri kabisa. Kuna vijana wa rika langu ambao wakati mimi nafaulu vizuri na kuendelea na elimu ya sekondari, wao hawakubahatika hivo wakalazimika kubaki kijijini kulima.


Leo nimekutana nao wana maisha mazuri kwelikweli. Wote wamejenga nyumba zao. Unaweza kusema kujenga kijijini sio gharama kubwa. Lakini hawa vijana wametumia tofali za block kama mjini, nyumba zao zina dirisha za aluminium na wengine tiles kabisa. Vijana wengine kadhaa wamemiliki gari zao nzuri tu kama Toyota Noah na malori. Bodaboda ndo usiseme zipo nyingi.

Kuna jamaa mmoja tulisomaga naye shule ya msingi alikua kilaza kweli. Karibia kila mtihani alikua wa mwisho. Ni mtu aliyedharaulika mno. Leo nikakutana naye dukani kwake tukawa tunapiga stori. Ana mke na watoto. Amejenga nyumba nzuri. Pia ana Toyota Noah namba D mpya kabisa rangi nyeusi. Akaniambia mafanikio yote hayo ni kilimo na analima kilimo cha kienyeji. Sasa mimi niliyekuwa masomoni nikijiangalia sina hela naona aibu japo inashauriwa usijilinganishe na mtu bali jilinganishe wewe wa jana na wewe wa leo.

Sasa nimekaa nikatafakari kama hawa wakulima wa kienyeji wanapiga hela hivi, vipi akienda mtu alime maeneo yale yale kwa kilimo chenye tija? Alime kwa kufuata taratibu zote za kilimo? Si atatoboa upesi sana?


Wakulima wazoefu mkuje huku kutuambia kama kilimo kinalipa au la. Maana nilichokiona leo kimenitia nguvu sana nikalime.
Ulichokiona ni kweli na hakika... Usisite jitose
 
Huko kwenu kuna neema, hicho sio kijiji tena kushakuwa mji kama noah, bodaboda, majumba makali yamejazana hivyo. Huku kwetu jembe la mkono halilipi kuna kipindi hali inakuwa mbaya zaidi ukiwa na elfu kumi wewe tajiri. Kilimo kisikie hvhv.
Mkoa gani huo niwashitue wana tuzamie huko.
Wapi huko??kama si wavivu?
 
Wakuu kuna fursa hapa,zinahitajika tani 100 za ufuta mweupe na kwa bei nzuri utanunuliwa.DM iko wazi kwa wahusika.

ANGALIZO:UWE SERIOUS NA BIASHARA.
Hizi biashara za Tani kadhaa za ufuta sijui tani 10 za zao gani huwa miyeyusho! Hizo Tani utazitoa wapi katika hali ya kawaida?
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Hii ni nzuri.
 
Tangu lini kijijini kukawa na maisha mazuri? Acha blaa blaa..

Watakuwa wamejenga shelter sio nyumba
Mkuu, ukishafika vijijini?

Siyo kila kijiji kina maisha mazuri kama ambavyo si maeneo yote ya mijini Yanaaisha mazuri.

Ukitembelea baadhi ya maeneo katika baadhi ya mikoa Tanzania, mfano Machame, Marangu, Meru, Kagera, n.k., utaamini kuwa kuna vijiji vina maendeleo makubwa sana na hivyo maisha yake kuwa ya "kuvutia".
 
Hii ni nzuri.
Siamini hili jambo kwanini msilime tu
IMG_20230920_113525_141.jpg
 
Back
Top Bottom