Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Kwa kua akili huna..mi nimeanza kufatilia mpira wa ulaya miaka ya 90..kipindi hicho deportivo la coruna haikamatiki..sasa ningekua shabiki wa deportivo kipindi kile ungetaka nihame leo nihamie man city?
Sawa mi sina akili ndo maana sitaki kujibizana na shabiki wa Arsenal, please naomba uniache we mtu mwenye akili nyingi
 
Mchochezi omba mods waufute huu uzi. Ona sasa umeaibika mshikaji. Barcelona ipo on fire kaka.. subiri siku Messi astaafu soka ndio uje na haya maelezo. Messi akiritaya na Barcelona ndio basi tena tena. Vitim uchwara kama Man u, chelsea, Madrid n.k vitakuwa vinajipigia tu.
 
Miezi nane baadae baada ya comment yako, kuna mambo yamejidhihirisha.
 
uko sahihi
Bado unasisitiza msimamo wako uzi ufutwe?
 
Aseee bado mpo on fire au unazungumzia kings cup πŸ˜€πŸ˜€
 

Sioni wa kumzuia Barcelona kushinda treble!
Unabii umetimia -KANA-
 
Aina kitu mbele ya real Madrid (the real champion) of all the time.
 
Vizazi vinapita na ndio maana kulikuwa na kina Cruyff, etoo figo, de Lima n.k lazima zama zipite vizazi vingine vije
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…