Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Nimeshuhudia mwisho wa Barcelona

Barca haina mwisho...
Inaweza kupumzika kidogo tu baada ya Muda mrefu wa viwango ambavyo havina wa kufananishia duniani....
Ni kweli Barca haina mwisho. .. kilichokwisha ni yale makali (lethal) , hakuna kitu kigumu kama Team kujipanga upya , km mnaikumbuka Man u ya Ferguson , mpaka leo bado formula zinagoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inashangaza sana!!!!!
2013 walipigwa 7, tulishangilia sana, baadae yakarudi yale yale
Sasa hivi tena tumeanza kuongea
But one thing is for sure, within the next three years up to 2020, Barca will claim again the Uefa champions league.
 
wapo wengi wameshagota, nikitaja hapa povu, tutakosa pakukaa, mana "jamaa wana timu pasi na kiwanja"
 
Kila jambo huwa lina mwisho wake. Nimeshuhudia timu bora ya wakati wote Barcelona ikitamba katika soka la kisasa. Timu zote imara zilinyanyaswa na Barcelona ya kuanzia mwaka 2008-2012. Kisha Barcelona ya 2013 - 2015.

Wote ni mashahidi jinsi Messi, Xavi na Iniesta walivyoipa timu hii mafanikio. Kisha ikaja MSN nayo ikatamba na kunyayasa vilabu vingi vya Ulaya kama sio Dunia.

Na sasa naona mwisho wao Umefika, ni kama nilivyoshuhudia Mandela akifikia mwisho wake hapa Duniani, ni kama nilivyoshuhudia Ukuta wa Berlin ukidondoshwa mwaka 1990, Ni kama tulivyoshuhudia mwisho wa maisha ya Papa John Paul wa II, Ni kama nilivyoshuhudia mwisho wa Barack Obama kuwa Rais wa Marekani na sasa nashuhudia mwisho wa Timu bora ya wakati wote, Barcelona ikifikia ukingoni. Ni ukweli unaouma laikini hatuna budi kuukubali.

Asante mungu nimeishi katika kipindi cha timu bora ya wakati wote, na mimi nitakuja kuwasimulia wajukuu wangu panapomajaliwa.
I hope hili tatzo litafanyiwa kazi na barca tuta bounce back kwenye ubora wetu kipigo cha Madrid sio kikubwa kama walichotupiga Bayern 2013 lakn hatukufika mwisho na hatutafika mwisho milele
 
Barcelona bado ni club bora, kinachoifanya ionekane imeshuka ni kwisha kwa utawala wake kwa Madrid. Kwa sasa Madrid ni club bora zaidi duniani

-thinkpad-
 
Bacca bado ni timu bora lakini ukweli ni kwamba kwa Madrid mbele ya kocha wap Zezou wattanyanyaswa sana ata km wangekua na Neymar Zezou mjanja sana wa kusoma wapinzani namuona km anaenda kuweka rekod ya kipekee kwa makocha kwa kuibeba UEFA x3 mfululizo sioni kwa sasa km kuna timu yakuindoa Madrid asifike final na akifika final sioni timu kwa sasa ya kumfanya asibebe ndoo,%90 watu waliamini Juve atabeba ndoo chakushangaza tukashuhudia akilanbwa 4,kidooogo Man U kwa sasa wakizoeana wanaweza kumsumbua lakin si kwa kumfanya asichukue ndoo wakat analiona mezani ,Namuona pia Cr7 mbali nakuelekea uzeeni bado sjaona wakumzuia asibebe Uchezaji bora kwa misimu mi2.Veva Zezou hakika nikocha bora kwa sasa hana mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bacca bado ni timu bora lakini ukweli ni kwamba kwa Madrid mbele ya kocha wap Zezou wattanyanyaswa sana ata km wangekua na Neymar Zezou mjanja sana wa kusoma wapinzani namuona km anaenda kuweka rekod ya kipekee kwa makocha kwa kuibeba UEFA x3 mfululizo sioni kwa sasa km kuna timu yakuindoa Madrid asifike final na akifika final sioni timu kwa sasa ya kumfanya asibebe ndoo,%90 watu waliamini Juve atabeba ndoo chakushangaza tukashuhudia akilanbwa 4,kidooogo Man U kwa sasa wakizoeana wanaweza kumsumbua lakin si kwa kumfanya asichukue ndoo wakat analiona mezani ,Namuona pia Cr7 mbali nakuelekea uzeeni bado sjaona wakumzuia asibebe Uchezaji bora kwa misimu mi2.Veva Zezou hakika nikocha bora kwa sasa hana mpinzani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Real Madrid will be favourite to retain their trophy. Labda Manchester City, Manchester United au Bayern Munich zitakuwa vizuri mwaka ujao. Halafu kama PSG wakimchukua Kylian Mbappe watakuwa na timu nzuri sana. Anything can happens in football.
 
Barcelona bado ni club bora, kinachoifanya ionekane imeshuka ni kwisha kwa utawala wake kwa Madrid. Kwa sasa Madrid ni club bora zaidi duniani

-thinkpad-
Hii hoja nadhani inamantiki sana, Ambayo hata mimi nafikri hivyo.

"Do not compete with any one, do the best to become the best"
 
Kizazi cha sasa cha Barcelona kimefikia ukingoni, ni wakati wa Barcelona kuanzisha kizazi kingine.
Jana nilishuhudia Barcelona isiyokua na meno, jana nilimuona Messi akicheza kama namba 8,10,9 alifanya hivi akijaribu kufukia mashimo ya wengine lakini alishindwa.
Kuna wachezaji wengi hawana hadhi ya kuichezea Barcelona, wa kwanza ni Andre Gomes. Uyu jamaa sijui walimuokota wapi?
Kwanza unaweza kufkiria mpaka ukaumia moyoni yaani leo hii MESS atoa pass kwenda kwa Andares Gomes... Badala ya iniesta.. Xavi... Neymar... David Villa.... Pedro.... Sanchez.... Zlatan.... Ettoo.... Na wengine waliokuwa na ubora Kama huo..
Beki yenye Puyol... Leo umtitt


Wapi Erick abdial

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini isiwe ''nimeshuhudia kufufuka (kufuta uteja...) kwa Real Madrid''?

Usiwachukulie poa Barca. Kunyanyaswa na Real Madrid kwenye hizo mechi mbili za kombe la mfalme hakutoshi kuja na confirmative verdict kwamba mwisho wa Barca umefika. Bado sana.
 
..Barca inaitaj itumie ile ela ya Neymar imlete coutihno,dembele,seri ikiwezekana na ...Ila lawama zangu ni kwa bodi ya Barca ni ya kipumbav sana...Uyu bartomeu fala bora arud Laporte tu..Usajili waliofanya ni wa kiboya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi nawapa nafas bado endapo watafanikiwa kumsajili coutinho au dembele, ila kwa sasa timu kiujumla bado ni mbovu ukifikiria kwamba benchi lao zima la ufundi hawana top players, ushawahi fikiria incase messi au suarez ataingia nani, so kwa kwel bado sana, nadhan ifike mda sasa kocha ya aipange timu mpya kabxa ila kwa kuanza kumnunua paulinho ambaye ni flop wa uingereza, imani na kocha wa barca inaniishia mapema, vinginevyo mda utaongea ila mpaka hapo watakapojipanga, nadhan mahasimu wao madrid watakuwa wameshajenga legacy yao ndan ya soka
 
Back
Top Bottom