Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

paqwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
2,106
Reaction score
2,831
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
 
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
RPC ijia huyu akatoe ushahidi.

Mtajikuta kwenye matatizo bure kisa mdomo mrefu
 
Sema hujui.
Acha story za Facebook na instagram kuleta hapa JF

Unapoandika uzi kumbuka kuna wataalamu humu

Zinahitajika details na Data

Story za Paka kamla mbwa peleka Facebook

Remember no research no right to speak

Taja club gani,Dar kuna club nyingi sana ,Na ulijuaje ni cocaine ?

Sio kila mvaa barakashia ni ustadhi wengine wana vichwa vidogo na upaa hivyo barakashia inasaidia
 
Acha story za Facebook na instagram kuleta hapa JF

Unapoandika uzi kumbuka kuna wataalamu humu

Zinahitajika details na Data

Story za Paka kamla mbwa peleka Facebook

Remember no research no right to speak

Taja club gani,Dar kuna club nyingi sana ,Na ulijuaje ni cocaine ?

Sio kila mvaa barakashia ni ustadhi wengine wana vichwa vidogo na upaa hivyo barakashia inasaidia
Nikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc...
 
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Haya mambo kama kina Bashite waliyavalia njuga kisha wakafitinishwa na umma na kuonekana ni maadui wa Taifa, wacha watu wavute, ndiyo maisha waTz wanapenda.

Hata ukisontea eneo linalouzwa haitasaidia chochote.

Sisi Jf tuendelee na mada zetu za hoja mchanganyiko zingene mbali kabisa na hiyo mada.
 
RPC ijia huyu akatoe ushahidi.

Mtajikuta kwenye matatizo bure kisa mdomo mrefu
Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?

Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?

COCAINE Ni kweli ndy zinazouzwa Sana kwa sasa hapa mjini Daresalaam.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia hiyo.

COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage

Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
 
Back
Top Bottom