- Thread starter
- #21
A
Achana nalo jinga moja hilo iq ndogo za wengi wanaopelekwapelekwa.Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinzouzwa Sana kwa sasa.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.