Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
1683086351311.jpg



KARIBU DARESALAMU NDUGU
 
Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?

Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?

COCAINE Ni kweli ndy zinzouzwa Sana kwa sasa.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia.

COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage

Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Vipi kuhusu heroine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar es Salaam ndani ya miaka 10 ijayo, itaenda kugeuka Zombie City (Heroin Addicts), kama Durban au Philadelphia kama mamlaka hazitachukua hatua za ziada kuthibiti.
chilling-video-shows-drug-addicts-walking-like-zombies-through-the-streets-of-philadelphia.jpg
 
Mwamba kaona shisha japo Huwa sijui kilichopo mle.Lakini vijana tuache ulimbukeni kwa kutumia vitu vya ovyo ovyo.
Ni hiyo masheesha ye anasema Cocain.
Yale wanaweka wanajua wao ila sana itakua heroin chafu ndio ipo sana hapo Kino.
Wanaona ujanjaa kuvuta hayo masheesha ni ushamba tu.
Bongo yanawekwa mpk mavi kwenye hizo sheesha, bangi, na hizo heroin za bei chache
 
Mnataka kujifanya hamumjui supplier mkuu wa ngada sio?
Hivi alikuwa blackmailed nini kama kweli yupo unayemsema? Sasa anashindwa kujinasua kutoka kwenye makucha Yao? Maana sidhani kama ana roho mbaya kiasi hicho cha kuona vijana na watoto na Hata watu wazima wanaangamia!

Afunguke apate msaada wa kumsaidia atoke kwenye makucha hayo ya maharamia.
 
Back
Top Bottom