Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?
Au wewe ndy unajaribu kumziba mdomo?
COCAINE Ni kweli ndy zinzouzwa Sana kwa sasa.
Especially wasanii na celebrities wengi wanatumia.
COCAINE inamfanya mtu atoe aibu na achangamke.
Na kwenye SEX NI BALAA KUBWA
Mfano wanamuziki wengi wa marekani na Dunia nzima wanatumia hyo especially wakiwa ktk stage
Mleta habari ameleta taarifa kueleza umma ana hoja asikilizwe
Ni kweli hilo Jambo lipo.
Nyie ndy tunapiga kelele kila siku ushoga ushoga ndy nyie sasa..Utaku
Utakuwa unatangaza biashara
Sasa tunavyoambiwaga kuwa punda kunalipa mbona sielewi.Ndy mkuu..
Hiyo Ni product ya Afghanistan na Pakistan..
Ungekuwa specific zaidi. Uliona maeneo gani au club zipi?Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Wajinga ndiyo waliowao. Pole sana. Bashite alivalia njuga kitu gani? Bashite hakuwahi kuvalia njuga kitu kama madawa ya kulevya bali alikuwa anatumia madawa kuadhibu watu. Kimsingi aliharibu vita ya madawa.Haya mambo kama kina Bashite waliyavalia njuga kisha wakafitinishwa na umma na kuonekana ni maadui wa Taifa, wacha watu wavute, ndiyo maisha waTz wanapenda.
Hata ukisontea eneo linalouzwa haitasaidia chochote.
Sisi Jf tuendelee na mada zetu za hoja mchanganyiko zingene mbali kabisa na hiyo mada.
Jibu la uhakika ambalo hata mahakamani watalichukua kama ushahidi ni la maabara. Unga unalambwa kuna level of numbness mojawapo inakua nayo kuzidi nyingine.Unga haulambwi mkuu..
.kila unga na SMELL tofauti ndy maana hata mbwa anayekamata madawa anafundishwa jinsi ya kutambua HARUFU.
.
Ndy maana unaweza usigunduwe unga ulipofichwa ,,
lakini mbwa akanusa na kutambuwa..
Na huyo huyo mbwa watu wanamdanganya harufu na wanapita hapo hapo na mbwa yupo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hovyo shangazi yako. Look at the bigger picture. Sijaattack biashara za watu, nimekemea matumizi.Kama unatambua ni biashara za watu kwanini umeleta humu?! Hovyo kabisa
We mpumbavu kama umeanza hiyo kazi juzi ndio ukae kimya.Kijana kama hujuwi kaa kimya?
Cocaine haitoki Pakistan.
Cocaine inatoka PERU,COLOMBIA,CHILE,BRAZIL, ARGENTINA.
Heroine ndy inatoka Afghanistan na Pakistan..
Kama Jambo hujuwi kaa kimya.
heroine gram ni 18000 tu..
Ndy maana sometimes tunakuwa kimya kukwepa watu kama nyie.
Wengi hawajui tofauti ya cocaine na heroin. Wanadhaani cocaine na heroin ni sawa, moja wanaita unga mchafu dah! 🤣Kijana kama hujuwi kaa kimya?
Cocaine haitoki Pakistan.
Cocaine inatoka PERU,COLOMBIA,CHILE,BRAZIL, ARGENTINA.
Heroine ndy inatoka Afghanistan na Pakistan..
Kama Jambo hujuwi kaa kimya.
heroine gram ni 18000 tu..
Ndy maana sometimes tunakuwa kimya kukwepa watu kama nyie.
Mkuu tupe taarifa ni wapi sisi wengine ndo tunapopatia ugali wetu [emoji16][emoji16]Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Hupati mzigo hapo unapita tu transit,Nitazipataje hizo cocaine,
Fanya kazi kwa bidii. Usitegemee mitandao. Unalipwa kodi za watanzania unaishia kulewa na kutishia watu.Mkuu tupe taarifa ni wapi sisi wengine ndo tunapopatia ugali wetu [emoji16][emoji16]
Wanaotumia wanapata wapi sasa au wanapataje?Hupati mzigo hapo unapita tu transit,
Heroin zimejaa hapo kino american chips.
YesNdo unajua leo!
Mbere ndio wapi? Karekebishe kwanza speech center ya kwenye ubongo wako.Kuna watu wanachekesha sana hapa.
Kama mnalalamika unga wa mahindi 3000 umepanda na maharage 2000 sasa we Cocain ya nini?😅😅😅 hiyo ni 50 + kwenda mbere line moja mtawezaje?
Hamna kinachoshindikana ukiwa na helaWanaotumia wanapata wapi sasa au wanapataje?