Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Sasa tunavyoambiwaga kuwa punda kunalipa mbona sielewi.

Gram bei ya kuuza 18000, means imefika chini ya hapo labda huko pakistan ni 5000 kwa one gram.


Kilo moja yaani 1000 grams ndio 5M sasa punda analipwa bei gani ili mzigo utoe faida/super profit ili achukue hiyo risk na kilo moja sio mchezo kumeza (wanavyosema wanameza).

Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nistue chief.
 
Jibu la uhakika ambalo hata mahakamani watalichukua kama ushahidi ni la maabara. Unga unalambwa kuna level of numbness mojawapo inakua nayo kuzidi nyingine.

Ushahidi ukiwa ni Afande Adui aligundua ni cocaine kutokana na harufu hapo hafungwi mtu. Najua mara nyingi inatumika kahawa kumfanya mbwa asijue harufu.
Lazima uelewe kwamba kabla ya kufikishwa mahakamani mtuhumiwa ni lazima awe amekamatwa.
Je atakamatwaje?
Police watagunduwaje wewe una madawa na hayaonekani kwa macho?
Ndy hapo wanatumia mbwa maalum mwenye mafunzo au body scanner,,au chamicals maalum wakipitisha kwenye either simu,nguo,bag ,mikono yako na ikaonyesha dalili za kushika,au kugusa madawa ya kulevya ndy hapo huwekwa kama suspect ili wajiridhishe.

Baada ya kukamatwa ndy anapelekwa mahakamani.,

Labda nikueleze Jambo.
Ktk inchi zilizoendelea mfano ulaya na marekani police hasubiri mkemia mkuu wa kupima madawa.

Wamepewa go ahead ya kufanya kila kitu na kupeleka ushahidi mahakamani,
.ndy maana mtu anakatwa Leo na.kesho anafungwa.

Kuna kipimo cha kupima aina zote za madawa na yanajulikana kwa Rangi yake baada ya kuwekwa chamicals fulani,,

Mambo ya kulamba,,sijuwi kupeleka kwa mkemia ni zamani sn hayo ndy maana kesi za madawa Africa zinachukuwa mlolongo mrefu sn.
 
We mpumbavu kama umeanza hiyo kazi juzi ndio ukae kimya.
Wenzio tulistaaafu wakati uko kijijini kwenu na huna lolote unalojua mbwiga we
Hakuna sifa mbaya kama kujigamba unafanya biashara chafu.

Labda nikueleze tu wewe Pimbi.
Profile yangu huwezifikia hata robo.

Baki na upumbavu wako.

Ingia gougle uliza cocaine inapatikana wp.
Heroine inapatikana wapi.

Mimi nimepita kwenye mambo mengi,,
Tena FRONT LINE..
sio mambo ya kuhadithiwa vijiweni.

Naweza kukupa bei za hizo biashara inchi zote Dunia na bei zake .
 
Huku bongo watakuwa wanakula crack cocaine ile chafu aisee
Kwann hampendi kujifunza?

Kama huelewi kubali kujifunza.

Kama utauziwa uchafu kesho mateja yote yanakukimbia yanakwenda kwa aliye na cocaine pure,,

Usidhani kama hao wanaotumia hawajuwi.
Wanajuwa kizuri na uchafu.

Hapa bongo Kuna watali/Kuna wazungu ambao wanafanya kazi hapa bongoi pia ambao ni mateja ya cocaine unadhani wanapata wp?

Hivi vitu ni network kubwa sn...
 
Hakuna sifa mbaya kama kujigamba unafanya biashara chafu.

Labda nikueleze tu wewe Pimbi.
Profile yangu huwezifikia hata robo.

Baki na upumbavu wako.

Ingia gougle uliza cocaine inapatikana wp.
Heroine inapatikana wapi.

Mimi nimepita kwenye mambo mengi,,
Tena FRONT LINE..
sio mambo ya kuhadithiwa vijiweni.

Naweza kukupa bei za hizo biashara inchi zote Dunia na bei zake .
Tushasema hizo biashara baba zako tuliacha.
We ni mtoto mdogo sana jiangalie vizuri utengeneze maisha ubishana hapa
 
Nikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc...

Sasa kama unaogopa kuharibu biashara za watu unaleta hapa ili iwe nini? Ungekaa kimya tu kwa faida yako.

Unaonesha jinsi gani ulivyomuongo.

Lakini nisikubeze sana yaweza kuwa ni uitelijensia tu unataka kupata taarifa za machimbo. [emoji23][emoji23]
 
Tushasema hizo biashara baba zako tuliacha.
We ni mtoto mdogo sana jiangalie vizuri utengeneze maisha ubishana hapa
Sasa kama uliacha ulifanya biashara hizo inchi gani?
kama umeacha utabishanaje na ukwl ninaozungumza Mimi?

Nilichojifunza kwako,
wewe ni nguchiro mmoja ambaye hata Nairobi hujawahifika.
Na wala hujuwi chochote kuhusu lolote,,

Mind your manners you piece of shit.
 
Kwann hampendi kujifunza?

Kama huelewi kubali kujifunza.

Kama utauziwa uchafu kesho mateja yote yanakukimbia yanakwenda kwa aliye na cocaine pure,,

Usidhani kama hao wanaotumia hawajuwi.
Wanajuwa kizuri na uchafu.

Hapa bongo Kuna watali/Kuna wazungu ambao wanafanya kazi hapa bongoi pia ambao ni mateja ya cocaine unadhani wanapata wp?

Hivi vitu ni network kubwa sn...
Nafatilia sana haya mambo ya madawa majority hutumia cracked cocaine Tena Hawa mateja wa mtaani ndio usiseme aisee.
Hii ni ka experience changu tu na hata hyo yako nayo ni experience pia
 
Nafatilia sana haya mambo ya madawa majority hutumia cracked cocaine Tena Hawa mateja wa mtaani ndio usiseme aisee.
Hii ni ka experience changu tu na hata hyo yako nayo ni experience pia
Cracked heroine hyo ndy inakuwa ktk mfumo huo,
Akifika anapofika ataitumia kwa matumizi tofauti.
Either cocktail,(sigara au bangi)
Either sniffing,(kutumia puani)
Either sindano.(kujichoma kwenye mishipa)

Na Ni lazima waziisage ili aweze kuitumia.(cracked)
Inauzwa vile cracked ili kumthibitishia mnunuzi kwamba hii Mali haijachanganywa na uchafu.

Mara nyingi mateja hayapendi kununuwa unga uliosagwa kuwa vumbi.
Wanaamini utakuwa umechanganywa.
 
Cracked heroine hyo ndy inakuwa ktk mfumo huo,
Akifika anapofika ataitumia kwa matumizi tofauti.
Either cocktail,(sigara au bangi)
Either sniffing,(kutumia puani)
Either sindano.(kujichoma kwenye mishipa)

Na Ni lazima waziisage ili aweze kuitumia.(cracked)
Inauzwa vile cracked ili kumthibitishia mnunuzi kwamba hii Mali haijachanganywa na uchafu.

Mara nyingi mateja hayapendi kununuwa unga uliosagwa kuwa vumbi.
Wanaamini utakuwa umechanganywa.
All in all watumiaji wa hii kitu waonewe huruma maana akikosa ka mgonjwa Hadi huruma na hyo kujichoma sindano doh
 
Back
Top Bottom