- Thread starter
- #161
Chafu inashida gani?Nasikia domo anapiga coca kitambo tu. Sema coca safi hainaga noma sana..kuipata sasa safi ndo kipengele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chafu inashida gani?Nasikia domo anapiga coca kitambo tu. Sema coca safi hainaga noma sana..kuipata sasa safi ndo kipengele
Alafu mwambie wakati wana kata mistari wanatumia $100Basi elewa gram 1 pure cocaine ni sh 50,000 za tanzania,,
Kama unataka kujuwa..
Na mvutaji havuti gram moja ,,atavuta kete moja labda ya sh 5000 ,,
Sasa huo ugharama wa hali ya juu upo wp?
Cocain zipo sema haiwezi ikawa pureHamna Cocain bongo ya 50000 huyo Mwongo kabisa.
Hizo wanaagiza maponjoro hao zinaletwa toka pakistan
Heroin ipo mitaani hata 5000 utapimiwa.
Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Ww umeona ugoro unasema cocaine, unaijua cocaine ww, unajua gharama zake, narudia tena, cocaine ipo lakin cyo kwa akina kajamba nani ni ghaliHivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Babu yangu aliniachia urithi wa Block moja ya pure white coke, ile heisenberg type of shit…nahisi inakaribia kilo moja.Huku bongo watakuwa wanakula crack cocaine ile chafu aisee
Hio kwa matajiri wanaokula kitu pure,,, ila masikini wanaokula iliyochanganywa na matakataka. Uteja fasta tuCocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.
Nimeshangaa jamaa anaitaja cocaine bila wasiwasi, na sidhani hata km anaijua, Cocaine ni pesa, cocaine cyo ya kutumiwa na mandezi ndeziHamna Cocain hapo hayo mashisha wanagonga yanajazwa brown sugar takataka
Na ndiyo hiyo unaona mateja huko mitaani.
Cocaine ni parefu hugusi km hujashiba mkwanja.
Hayo makapi ya heroin ndo unaona wanavutavuta yakichanganywwa kwenye sheesha.
Cocaine inabidi uwe na hela ndefu isiyoisha.
Sio hela za kupanda bajaj
Nikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc..
kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Unaweza kufafanua na kuiweka vizuri hoja yako?Wajinga ndiyo waliowao. Pole sana. Bashite alivalia njuga kitu gani? Bashite hakuwahi kuvalia njuga kitu kama madawa ya kulevya bali alikuwa anatumia madawa kuadhibu watu. Kimsingi aliharibu vita ya madawa.
Kwani mnavosema ushoga umeongezeka mnataja idadi?Idadi imeongezeka toka ngapi hadi ngapi?
Kitu kikiwa pure ndio uteja fasta. Yani ni sawa na pombe yenye alcohol percent 4, na yenye 40. Ya 40 itakupeleka fasta. Logic hiyo watu wengi inawacost. Maskini wanapata heroin tena nzuri maana pwani ya Tanzania inaleta sana kutoka Pakistan na Iran kabla ya kwenda ulaya. Usichanganye cocaine na heroin.Hio kwa matajiri wanaokula kitu pure,,, ila masikini wanaokula iliyochanganywa na matakataka. Uteja fasta tu
Hajui chochote mshamba tu ,Hiyo kitu hela yake ndefu kiasi ukifanikisha unatoka mazima.Nimeshangaa jamaa anaitaja cocaine bila wasiwasi, na sidhani hata km anaijua, Cocaine ni pesa, cocaine cyo ya kutumiwa na mandezi ndezi
Mtu anaekula crack cocaine na cocaine pure uteja wao haufananiKitu kikiwa pure ndio uteja fasta. Yani ni sawa na pombe yenye alcohol percent 4, na yenye 40. Ya 40 itakupeleka fasta. Logic hiyo watu wengi inawacost. Maskini wanapata heroin tena nzuri maana pwani ya Tanzania inaleta sana kutoka Pakistan na Iran kabla ya kwenda ulaya. Usichanganye cocaine na heroin.
Jana nimepita mahala nimekuta kijana na gunia la chupa za plastiki anazookota akiwa amesizi barabarani yaani yupo hoi kwa kilevi cha kunusaHivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Hao gundiJana nimepita mahala nimekuta kijana na gunia la chupa za plastiki anazookota akiwa amesizi barabarani yaani yupo hoi kwa kilevi cha kunusa
Hawa vijana wanauziwa madawa na watu wanaofahamika na dola. Mpaka naanza kuhisi labda madawa ni sehemu ya chanzo cha mapato ya nchi😡
HatariHao gundi
hamna hiyo kitu mwongo huyo,tushasema hamna coke hapo ya kuvutwa mitaani,50000/5000=10. Kwa hiyo, 1 kg inaua ubongo wa wavulana na wasichana wetu Karibu elfu 10,000. Na thamani ya ubongo wa vijana wetu hawa wote ni sawa na 50,000 x 1,000= 50,000,000/=.
Ukisikia Shetani kazidiwa keti na mfuasi wake ndiyo hii.
Sijawahi kusema hivyo, mimi na wewe tulionana wapi nikakutamkia hivyo??Kwani mnavosema ushoga umeongezeka mnataja idadi?