Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

We hayo mambo watu wanayajua kabla hujaja mjini toka uporoto acha upoyoyo
Heroine Pakistan ni Dola ngapi?
Cocaine Brazil na Peru ni Dola ngp?

Na kwann marekani na brazili heroine ni Ghali kuliko cocaine?
Na kwann hapa tanzania heroine Ni rahisi kuliko cocaine.

Nijibu kwnza,,

Isije ikawa nabishana na dalali wa vyumba.
 
Heroine Pakistan ni Dola ngapi?
Cocaine Brazil na Peru ni Dola ngp?

Na kwann marekani na brazili heroine ni Ghali kuliko cocaine?
Na kwann hapa tanzania heroine Ni rahisi kuliko cocaine.

Nijibu kwnza,,

Isije ikawa nabishana na dalali wa vyumba.
Kaa utulie we bwege mbishi sana.
Hizo bei sijui sifanyi hio biashara napangisha vyumba ndio unataka?
 
We hayo mambo watu wanayajua kabla hujaja mjini toka uporoto acha upoyoyo
Mimi mjini nimezaliwa sikuletwa mjini na shemeji kama wewe.

Ushukuru Dada yako alivyompagawisha shemeji yako kwa utelezi akashawishika kukuleta mjini.

Bila Dada yko kuumizwa sehem zake za Siri ungekuwa KILANJE LANJE hadi sasa.
 
Mimi mjini nimezaliwa sikuletwa mjini na shemeji kama wewe.

Ushukuru Dada yako alivyompagawisha shemeji yako kwa utelezi akashawishika kukuleta mjini.

Bila Dada yko kuumizwa sehem zake za Siri ungekuwa KILANJE LANJE hadi sasa.
We km unajiita mwandende kikwetu ni mavi , so kaa na uwandende wako.
 
Duuuh, sasa kwanini wanatumia heroine na sio cocaine ilhali wanajua side effects za heroine, au tatizo ni bei ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi huingia kwenye heroin either kwa kupenda au kutokujuwa.

Especially wavutaji sigara na bangi wapo kwnye hatari kubwa sn ya kuingia kwny matumizi ya heroine..

Cocaine wanaouza so watu wengi...
Na Kuna kipindi uoatukanaji wake ni mgumu
 
Hahahaha
Nacheka sana na comments za humu wachangiaji wote wamekutana vijana wa mjini
 
Mkuu hivi unajuwa kama heroine Ni bei mbaya sana marekani na brazili kuliko COCAINE?

Marekani ukivuta heroine Ni pesa ndefu kuliko cocaine unajuwa kwann?

Msibishane vitu huvijuwi,,na hujuwi unabishana na nani pengine ndy mwenyewe PABLO ESCOBAR..

miaka ya 2005 kurudi 1990 --80 unga heroine ulikuwa Ni bei mbaya sn tanzania unajuwa kwann?

Mkinijibu hayo nitaelewa nabishana na akina Nani.
Tupe madini mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba curiosity killed the cat.


Kwa jinsi nnavyowaona mateja walivyo ..adawa hapana kiukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfano Kuna style moja ya uvutaji inaitwa cocktail.

Hii unga unachanganywa kwenye sigara au bangi na kuvutwa,
Sasa kama wewe Mzee wa kugongea sigara,

Ukipewa hyo siku mbili tatu utaona mbona Ni tamu Sana?

Hapo ndy penye shida inapoanzia.

Mteja ananzia kuanza kuvuta kwa kutumia either sniffing au cocktail (sigara?
Hii ndy kwa wanaoanza kuvuta.

Dose ikiwa kubwa ndy wanahamia kwenye sindano na kupiga bati(foel linachomwa juu wanaweka unga chini wanapitisha moto kwa gas lighter)
 
Vijana 12 wanaochangishana kununua hennessy hawawezi mudu gharama za Cocaine. Dola elfu 2 - 4 wanazolipwa kwa kusafirisha ngada hazitoshi kufanya showoff mjini na kubwia cocaine
Huo mziki hawawezi ni maponjoro wanaweza.
Mzigo hapo unasukwa watu wanakula ,ndo hao Europe.
Huyu mpumbavu anasema Brazil unapeleka nini?
Tuliofika huko wanavuta mpk petroli acha hata heroin, Pakistan, India kote huko ni heroin au petrol ya 500.
Cocaine huko hugusi.
Analeta upuuzi hapa
 
Kijana kama hujuwi kaa kimya?

Cocaine haitoki Pakistan.

Cocaine inatoka PERU,COLOMBIA,CHILE,BRAZIL, ARGENTINA.

Heroine ndy inatoka Afghanistan na Pakistan..

Kama Jambo hujuwi kaa kimya.

heroine gram ni 18000 tu..

Ndy maana sometimes tunakuwa kimya kukwepa watu kama nyie.
Kwa kweli, ndio maana wanao uza haya ma drugs wanapesa vibaya.. yaani kilo 1 ya heroin ni mil 18...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].... Tutafute koneksheni tu
 
Huo mziki hawawezi ni maponjoro wanaweza.
Mzigo hapo unasukwa watu wanakula ,ndo hao Europe.
Huyu mpumbavu anasema Brazil unapeleka nini?
Tuliofika huko wanavuta mpk petroli acha hata heroin, Pakistan, India kote huko ni heroin au petrol ya 500.
Cocaine huko hugusi.
Analeta upuuzi hapa
😀 😀 😀 😀 TZ kuna Cocaine ya 50K mkuu
 
Wengi huingia kwenye heroin either kwa kupenda au kutokujuwa.

Especially wavutaji sigara na bangi wapo kwnye hatari kubwa sn ya kuingia kwny matumizi ya heroine..

Cocaine wanaouza so watu wengi...
Na Kuna kipindi uoatukanaji wake ni mgumu
Kabisa kuna watu wanadhani unga ni unga tu, anapewa coke mara ya kwanza na washua, anataka kupata tena ile steam, anakutana na heroin. Kazi inaanza.
 
Back
Top Bottom