Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Hiv ukivuta unajisikiaje mpaka iwe ngumu kutoka
Huwezi kutoka kwa sababu damu inakuwa tayari imeshachanganyika na kilevi cha unga.

Kwahyo Kuna muda unafika lazima uvute ili viungo na mwili ufanye Kazi.
Kuna muda mwilini unakuwa kama unapigwa shot ya umeme..

Ndy maana mateja asubuhi yanahaha Sana kupata unga.
 
Kwa sasa ngada inaingia kwa kasi ya kimbunga... ukiwa kwenye mamlaka na hujaamua kula vyako mapema kipindi hiki kaa usahau maisha bora maishani ( hiki kipindi cha mlichukue na hili)
 
Hiv inaleta nini?
Au ashki???
Hapo mwanzo kabla ya mambo ya mkono,,mpako,,
. wanaume wengi walikuwa wanatumia kama nguvu za kiume.
.ukivuta heroine ukisex hukojowi hadi kesho kutwa..

80% waliingia kwa style hyo..

Ila kwa sasa watu wanaingia sababu ya kuiga na kuwa na watu sio sahihi.
 
Kwa sasa ngada inaingia kwa kasi ya kimbunga... ukiwa kwenye mamlaka na hujaamua kula vyako mapema kipindi hiki kaa usahau maisha bora maishani ( hiki kipindi cha mlichukue na hili)
Kabisa mkuu..

Kitengo kuweni makini Kuna vijana wenu wananufaika kwa kupitia RUSHWA na wizi wa Mali za watu..

Ili biashara hii ife kwnza RUSHWA ikomeshwe .
 
Usije ukajaribu!!!!!!!!!!!!!!! Vuta picha iwe mwanaume au mwanamke wakati unapoenda mshindo, sasa ile raha yake ni sehemu ndogo sana kulinganisha na cocaine (original) siyo vumbi!!!!!!!!!!!!!!!!


Cocaine hijacks the pleasure centers in the brain. A rat will choose cocaine over food and water. It would choose cocaine over sleep, over sex, over life itself!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Unajua hii kauli aliitoa nani???? Alipewa kazi gani?????
 
Mbona kama retailer hapati kitu, kama kanunua 1kg $10k akiuza 1g $10 mbona hapati faida yoyote, au mi ndio sijaelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu atanunuwa labda gram 100 jumla ambayo Ni $1000.

Atauza gram kwa $12 kila gram kwa rejareja,,.atawauzia wafunga kete mitaani.

pia wana ujanja wanafanya kuongeza uzito wa mzigo.

Nao pia wafunga kete wanauza juu Zaidi hawauzi hyo $10..
Watauza kete sh 2500/2000.

Mfano mfunga kete atauza kete za gram 10 ambazo anatoa kete nyingi Sana na faida juu..

Mateja hawanunuwi gram bali wananunuwa kete.
 
Huwezi kutoka kwa sababu damu inakuwa tayari imeshachanganyika na kilevi cha unga.

Kwahyo Kuna muda unafika lazima uvute ili viungo na mwili ufanye Kazi.
Kuna muda mwilini unakuwa kama unapigwa shot ya umeme..

Ndy maana mateja asubuhi yanahaha Sana kupata unga.
Na kwanini mateja wanakua na sura za kizee hata kama ni kijana...yaani kachokaa, yaani ukimuona tu unamuona huyu ni teja.

Kwanini wanapata ule muonekano?




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwanini mateja wanakua na sura za kizee hata kama ni kijana...yaani kachokaa, yaani ukimuona tu unamuona huyu ni teja.

Kwanini wanapata ule muonekano?




Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni sumu,,
Halafu ladha yake heroine ni chungu Zaidi ya shubiri,,

Wanapovuta lazima wakunje uso sababu ya uchungu wa heroine,
Na ukichanganya na hali ya kutokupenda Kula ndy kunafanya wawe vile.

Taste ya heroine ni chungu Sana mdomoni.
 
Ile ni sumu,,
Halafu ladha yake heroine ni chungu Zaidi ya shubiri,,

Wanapovuta lazima wakunje uso sababu ya uchungu wa heroine,
Na ukichanganya na hali ya kutokupenda Kula ndy kunafanya wawe vile.

Taste ya heroine ni chungu Sana mdomoni.
Mmmh,

Mbona starehe ya kifala hivyo.

Kwani yenyewe haivutwi au kuchoma?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu atanunuwa labda gram 100 jumla ambayo Ni $1000.

Atauza gram kwa $12 kila gram kwa rejareja,,.atawauzia wafunga kete mitaani.

.

Maana kanunua gram $10 anauza $12, profit margin $2..yaani 20%.

Mbona tunaskia ina super profit, sasa hiyo 20% profit margin mbona ni mdogo sana kulinganisha na risk unayobeba?

Sasa mbona wauza ngada inasemekana wana hela au ma big fish wanao import ndio wanapiga hela kutokana na volume ya mzigo wanaoingiza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo mwanzo kabla ya mambo ya mkono,,mpako,,
. wanaume wengi walikuwa wanatumia kama nguvu za kiume.
.ukivuta heroine ukisex hukojowi hadi kesho kutwa..

80% waliingia kwa style hyo..

Ila kwa sasa watu wanaingia sababu ya kuiga na kuwa na watu sio sahihi.
Naskia ukisex na teja yaani wewe tu umwambie imetosha ...
Nilikua nasikiaga ila sielewi muunganiko
 
Wengi waliingia kwa style kama hiyo ,,

Najaribu Leo,
Kesho tena.

Nakuhusia ndugu yangu sumu haionjwi,,

Usijaribu kutumia madawa ya kulevya.
Haha...sasa kuna watu ukiwaona wanaotumia ngada
Wapo wengine ni maafisa kabisa,wapo marubani,wapo wakurugenzi wapo mabanker
Wenyewe wanakuambia hii starehe sisi ndy tumeichagua

Ova
 
Mfano Kuna style moja ya uvutaji inaitwa cocktail.

Hii unga unachanganywa kwenye sigara au bangi na kuvutwa,
Sasa kama wewe Mzee wa kugongea sigara,

Ukipewa hyo siku mbili tatu utaona mbona Ni tamu Sana?

Hapo ndy penye shida inapoanzia.

Mteja ananzia kuanza kuvuta kwa kutumia either sniffing au cocktail (sigara?
Hii ndy kwa wanaoanza kuvuta.

Dose ikiwa kubwa ndy wanahamia kwenye sindano na kupiga bati(foel linachomwa juu wanaweka unga chini wanapitisha moto kwa gas lighter)
Na mtu akishafika hatua ya kujishoot sindano kwenye mishipa basi

Ova
 
Kwa sasa ngada inaingia kwa kasi ya kimbunga... ukiwa kwenye mamlaka na hujaamua kula vyako mapema kipindi hiki kaa usahau maisha bora maishani ( hiki kipindi cha mlichukue na hili)
Nani kakuambia

Ova
 
Naskia ukisex na teja yaani wewe tu umwambie imetosha ...
Nilikua nasikiaga ila sielewi muunganiko
Issue ndg tu....maana mwili wa teja
Akishavuta unakuwa full ganzi

HATA HUO MKONGO WANAOUPAKA
VIJANA UKIPAKA SI DUDE LINAKUWA NA GANZI,
KONGO MKONGO HUTUMIKA KWA AJILI YA KUTAHIRI WATU

ova
 
Back
Top Bottom