Sema hujui.Ulipaswa useme umeona wapi hiyo cocaine.. clubs zipi!?
Sisi kukujibu wakati hatujaona hao wadada wala cocaine...itakua ngumu Sana....
Umeona buguruni?yombo Buza?masaki?
Cocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.Haukuwa ugoro kweli?Anyway,hili lifuatiliwe.Watakuwa mateja waanze usumbufu.
RPC ijia huyu akatoe ushahidi.Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Umenishangaza!Kwa hiyo tuachane nao tuendelee kulima maboga?Cocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.
Acha story za Facebook na instagram kuleta hapa JFSema hujui.
Nikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc...Acha story za Facebook na instagram kuleta hapa JF
Unapoandika uzi kumbuka kuna wataalamu humu
Zinahitajika details na Data
Story za Paka kamla mbwa peleka Facebook
Remember no research no right to speak
Taja club gani,Dar kuna club nyingi sana ,Na ulijuaje ni cocaine ?
Sio kila mvaa barakashia ni ustadhi wengine wana vichwa vidogo na upaa hivyo barakashia inasaidia
Usinifundishe uoga. Hakuna sheria ya hivyo. Mimi Sitishwi kijinga hivyo. Hilo tatizo litawakuta tu mkiendelea kutokunielewa point ya msingi.RPC ijia huyu akatoe ushahidi.
Mtajikuta kwenye matatizo bure kisa mdomo mrefu
Simaanishi hivyo, nataka kushare experience, mimi sio mtokaji kivile, nataka kujua pengine ni common au vipi, maana hakuna ata alieshtuka. Nasikia mpaka mastaa wa bongo ndio zao, pengine wana influence.Umenishangaza!Kwa hiyo tuachane nao tuendelee kulima maboga?
Ok, sikuwahi kuona, so ni common sasa in dar kumbeWapo wengi sana baada ya kusnifu wanapooza na skunks ili watulize mapigo ya moyo...
Haya mambo kama kina Bashite waliyavalia njuga kisha wakafitinishwa na umma na kuonekana ni maadui wa Taifa, wacha watu wavute, ndiyo maisha waTz wanapenda.Hivi karibuni nimepata kutembea katika club za usiku jijini Dar, nimeona vijana hasa wanawake wana sniff/snort cocaine(sio heroin) tena hadharani na bila woga, imenishangaza sana kuona kitu hiko. Kama kuna mtu anafahamu wanapataje, how common it is kwa sasa au kwanini kunaongezeko hilo tujuzane.
Matumizi ya ugoro je? Kitu cha masai na kisungura pembeni hahahaNikikutajia club utaleta info gani, zaidi ya kuchafua biashara za watu? Nafahamu ni cocaine baada ya kuwaona reaction zao, uchangamfu etc...
Mkuu tangu lni mleta information akawa kwnye matatizo?RPC ijia huyu akatoe ushahidi.
Mtajikuta kwenye matatizo bure kisa mdomo mrefu