Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo Ni sehemu za clubs za usiku especially sehemu zenye wageni(watali)Hivi bila kutaja hayo maeneo nataka kujua umeisaidiaje jamii kama lengo lilikua ni kusaidia ila kama kutujuza tu sawa!!!
Nenda mjini hiyo ni hela kama 100MBabu yangu aliniachia urithi wa Block moja ya pure white coke, ile heisenberg type of shit…nahisi inakaribia kilo moja.
Mpaka leo sijui niifanyie nini
Mjini wapi kariakoo au?Nenda mjini hiyo ni hela kama 100M
Jichanganye na watu,club ,wavuvi mabaharia utapata connection ya kuupushMjini wapi kariakoo au?
Wamekupangia niniYaan Wabongo kwa kupenda kupangia maisha wenzao Lol.
Khaaaah
Kwan hapa inazungumzwa nn??Wamekupangia nini
UnatumiaKwan hapa inazungumzwa nn??
Kilevi cha kitajiri hicho... Hata kifo chake ni mshtuko tu wa moyo.. otherwise watumiaji wake hawachoki kama wale wa heroine.. shida inakuja siku mpunga ukikata, watatumia nini kama mbadala?Kubwia cocaine ni show off kumbe? Naendelea kujifunza.
Hapana situmii mie.Unatumia
Ok ,nataka nikufundishe kutumiaHapana situmii mie.
Mwambie kama sio mtumiaji hawezi kujuaUnajuwaje kama huu Ni unga wa ngano na huu Ni sembe na huu unga wa mtama.
Kila Jambo lina wenyewe
Wenye uwezo wa kula kitu pure mtaani ni wachache wengi ni ile wanaitaga crack cocaine ambayo imejaa masumu na makemikali kibao hio kua teja huchukui raundCocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.
Kasome Tena. Crack Ina purity kubwa sana ya cocaine kuliko powder.Wenye uwezo wa kula kitu pure mtaani ni wachache wengi ni ile wanaitaga crack cocaine ambayo imejaa masumu na makemikali kibao hio kua teja huchukui raund
Ipi ni pure kuliko nyingine..?.....kitu pure anakula tajiri na huwezi muona anakua teja kama wanaokula crack shida ukifulia kupata kitu pure ndo ngumu , na ndo kinachofelisha watu maarufu wengi, wakifulia inakua ngumu kupata kitu pure shida zinaanza hapo hadi kupelekwa rehabKasome Tena. Crack Ina purity kubwa sana ya cocaine kuliko powder.
Ulisoma ata chemistry kidogo? Nyie ndio mnajidanganyaga na kudanganyana,. Nikuulize pombe yenye asilima 5 na yenye 30 ipi itakumaliza mapema?Ipi ni pure kuliko nyingine..?.....kitu pure anakula tajiri na huwezi muona anakua teja kama wanaokula crack shida ukifulia kupata kitu pure ndo ngumu , na ndo kinachofelisha watu maarufu wengi, wakifulia inakua ngumu kupata kitu pure shida zinaanza hapo hadi kupelekwa rehab
Pombe isio na kiwango na yenye kiwango ipi itakumalizaUlisoma ata chemistry kidogo? Nyie ndio mnajidanganyaga na kudanganyana,. Nikuulize pombe yenye asilima 5 na yenye 30 ipi itakumaliza mapema?