Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Nimeshuhudia wimbi la matumizi ya cocaine Dar es Salaam

Hivi bila kutaja hayo maeneo nataka kujua umeisaidiaje jamii kama lengo lilikua ni kusaidia ila kama kutujuza tu sawa!!!
Maeneo Ni sehemu za clubs za usiku especially sehemu zenye wageni(watali)

Na clubs wanazokwenda sn celebrities.

Kama ukiwa mtu mwenye uzoefu na mambo ya usalama,,
Lazima utaona movements zao mateja na mapusher.
 
Kubwia cocaine ni show off kumbe? Naendelea kujifunza.
Kilevi cha kitajiri hicho... Hata kifo chake ni mshtuko tu wa moyo.. otherwise watumiaji wake hawachoki kama wale wa heroine.. shida inakuja siku mpunga ukikata, watatumia nini kama mbadala?
 
Cocaine inachukua muda mrefu sana kuleta uteja. Ni kazi ya miaka. Ni ngumu kumjua mtumiaji pia.
Wenye uwezo wa kula kitu pure mtaani ni wachache wengi ni ile wanaitaga crack cocaine ambayo imejaa masumu na makemikali kibao hio kua teja huchukui raund
 
Wenye uwezo wa kula kitu pure mtaani ni wachache wengi ni ile wanaitaga crack cocaine ambayo imejaa masumu na makemikali kibao hio kua teja huchukui raund
Kasome Tena. Crack Ina purity kubwa sana ya cocaine kuliko powder.
 
Kasome Tena. Crack Ina purity kubwa sana ya cocaine kuliko powder.
Ipi ni pure kuliko nyingine..?.....kitu pure anakula tajiri na huwezi muona anakua teja kama wanaokula crack shida ukifulia kupata kitu pure ndo ngumu , na ndo kinachofelisha watu maarufu wengi, wakifulia inakua ngumu kupata kitu pure shida zinaanza hapo hadi kupelekwa rehab
 
Ipi ni pure kuliko nyingine..?.....kitu pure anakula tajiri na huwezi muona anakua teja kama wanaokula crack shida ukifulia kupata kitu pure ndo ngumu , na ndo kinachofelisha watu maarufu wengi, wakifulia inakua ngumu kupata kitu pure shida zinaanza hapo hadi kupelekwa rehab
Ulisoma ata chemistry kidogo? Nyie ndio mnajidanganyaga na kudanganyana,. Nikuulize pombe yenye asilima 5 na yenye 30 ipi itakumaliza mapema?
 
Ulisoma ata chemistry kidogo? Nyie ndio mnajidanganyaga na kudanganyana,. Nikuulize pombe yenye asilima 5 na yenye 30 ipi itakumaliza mapema?
Pombe isio na kiwango na yenye kiwango ipi itakumaliza
 
Back
Top Bottom