Nimesikiliza mahojiano ya Prof. Assad na Kikeke, huyu Prof. ana ujuaji mwingi. Unafukuzaje mfanyakazi akikataa kufanya majukumu ambayo sio yake?

Job description inasema hvyo ntapangiwa kazi zingine if elrctrical job hakuna na supervusor wangu

Kumbuka unaweza kuumia wewe ama kuumiza wenzako. ukiumia wewe ukaamua kusamehe kwa kutafsiri hivyo huo ni ubwege wako, ila ukiumiza wafanyakazi wenzako watachukua hatua wataenda mahakamani kumdai mwajiri wako fidia. Huwezi jitafsiria kadri upendavyo hiyo phrase. Mahakamani unanyooshwa vizuri tu ukishitakiwa na tafsiri sahihi ya hicho ulichosema utapewa.hicho sio kichaka cha kujifichia
 
Karma is real. Prof akae kwa kutulia. Cheo alishavuliwa.
 
Kazi ya udereva ishehimiwe kama kama kazi nyingine Doctor,CAG , nurse. Angemtafutia kazi ya udereva kwingine. Asingeweza kufanya hivyo ulaya anapokusifia sana.
Hakukuwa na kazi kwingine. Kumsaidia akampa kazi ya kupanga mafile. Ilikuwa apange mafile au arudi nyumbani. Mjinga kachagua kurudi home.
 
JINGA SANA HUYU MZEE. ANA KAKIBURI FLANI HIVI KA KUDHANI YEYE NI BORA KULIKO WENGINE
Dunia huwa ina namna ya kuwanyenyekeza watu, ukifikiria kuwa wewe ndio kila kitu basi unakuja kutana na jambo litakalokufanya ubadili mtazamo.
 
Asad huwa anaamini hakuna mwenye akili kama yeye!

Hii lilitokana na Sifa alizopewa baada ya kutimuliwa na jiwe!
Zile ndio zikamlevya
 
Dunia huwa ina namna ya kuwanyenyekeza watu, ukifikiria kuwa wewe ndio kila kitu basi unakuja kutana na jambo litakalokufanya ubadili mtazamo.

Sasa analalamika yeye kuvuliwa u CAG ila kumbe naye alimtendea Dereva vivyo hivyo. What goes around comes around.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…