Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,
Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.
Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.
Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.
Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.
Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.
Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??
Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.
Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.
Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.
Such an arrogant and a very useless academician.
View: https://youtu.be/eE2JoDEd43Q?si=vgPL1ihKxMpsLtel
Kati ya retrenchment na kumpangia majukumu mengine, ni wapi anaonyesha kuwa na utu zaidi?Anafuata utaratibu wa retrenchment mkuu
Kwa sababu hakuwa na mtu wa kumuendesha alitakiwa aondolewe kabisa kazini.Alikuwa na tija kwenye kazi yake ya udereva, hakuna na tija kupanga ma-file ambayo sio kazi yake. Ulaya angetetewa na vyama vya wafanyakazi kupata fidia kubwa tu for nfair dismisal.
huenda masikio yetu yalikuwa pamoja, huenda bwana stroke ameangalia mahojiano yaliokuwa yameshaingiliwa na wahuniAlichokisema Profesa ni kuwa huyo dereva hakuwa na mtu wa kumuendesha kwa hiyo alikuwa anashinda siku nzima bila kufanya kazi yeyote. Profesa akapendekeza kuwa kwa vile hafanyi kazi aliyoajiriwa basi asaidie kupanga mafaili. Jamaa baada ya kuifanya kwa muda mfupi akaandika barua ya kudai malipo ya ziada kwa kuwa anafanya kazi ambayo hakuajiriwa. Alipojibiwa kuwa hamna pesa hazipo za kumlipa akaamua kuacha kuja kazini kwa wiki nne.
Alifukuzwa kazi kwa sababu hiyo na sio kwa sababu alikataa kufanya kazi aliyoajiriwa. Kutoonekana kazini bila ruhusa kwa muda fulani ni sababu tosha ya kuachishwa kazi. Dereva alitaka alipwe mshahara wa bure.
Amandla...
Sahihi, ilitakiwa huyo dereva aondolewe kazini kabisa kwa sababu hakuwa na kazi ya kufanya tena hapo ofisini.Lazima iwe ina relate na kazi uliyoajiriwa nayo. Siyo uliajiriwa kama Mwalimu alafu upewe majukumu ya ulinzi. Kisheria haikubaliki.
Kwa sababu hakuwa na mtu wa kumuendesha alitakiwa aondolewe kabisa kazini.
Hapa tunajadili kufuata taratibu za ajira na sio utu.Kati ya retrenchment na kumpangia majukumu mengine, ni wapi anaonyesha kuwa na utu zaidi?
Naona nondo zake zimekuingia mpaka umekasirika sasa unamtafutia kasoro.Nimemsikiliza pia kwa umakini mkubwa lakini nilipofikia hapo nikaona tatizo Lake.
Anaamini anajua kila kitu jambo ambalo sio kweli, hakuna mtu anajua kila kitu.
Afadhali retrenchment kuliko kufanyakazi ambayo hana ujuzi nayo anaweza kufukuzwa kazi kwakutotimiza majukumu yaani sawasawa underformance ambayo inakubalika kisheria za utumishi. Lakini retrenchment unalipwa pesa nzuri tu.Kati ya retrenchment na kumpangia majukumu mengine, ni wapi anaonyesha kuwa na utu zaidi?
Kuna bodi gani imefanya kazi kwa Mafanikio nchi hii? Ni full ujinga tu.Prof. Assad ni bogus sana anajiona anajua kila kitu na hana busara kabisa nimefanya naye kazi akiwa Mwenyekiti wa Board moja hivi. Alishindwa kuongoza Board hiyo na Taasisi husika ilipata hasara kwa muda wote akiwa Mwenyekiti wa Board hiyo alikuwa anaendekeza rushwa sana.
Ehhh..amekuwa tena mtu wangu..kwaheri mkuu. Uwe na usiku mwema.Hapa tunajadili kufuata taratibu za ajira na sio utu.
Tukimaliza hilo tutakuja kwenye huo utu unaouzungumzia ambao hata huo huyo mtu wako hana.
Nyumbu katika ubora wake.Kuna bodi gani imefanya kazi kwa Mafanikio nchi hii? Ni full ujinga tu.
Hyu prof siyo wa level za binchi hivi uchwara ndiyo maana alishindwa kuongoza bodi uchwara kwa maagizo na maelekezo uchwara.
Prof. Assad hoyeee!!!!
Prof. Assad Asante kwa kuyashika make de ya jiwe kisawasawa. Ndiyo maana wafuasi wake wana
.
Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,
Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.
Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.
Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.
Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.
Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.
Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??
Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.
Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.
Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.
Such an arrogant and a very useless academician.
View: https://youtu.be/eE2JoDEd43Q?si=vgPL1ihKxMpsLtel
Naona sukuma gang mnamsakama prof. Assad kwasabb anayashika makalio ya Mungu wenu jiweNyumbu katika ubora wake.
Kwa kweli Prof pale hakuchagua sawa sawa Cha kuongea
Anyway mwisho wa hadithi yake nimeona Magu alikuwa sawa
Maana huwezi mbadilishia mtu majukumu nje ya mkataba wake wa kazi kwa lazima na haraka haraka unasema fukuza huyu!!
Hapa tunajadili kufuata taratibu za ajira na sio utu.Kati ya retrenchment na kumpangia majukumu mengine, ni wapi anaonyesha kuwa na utu zaidi?
Aliajiriwa kama dereva na sio kama mtu wa records management.Alichokisema Profesa ni kuwa huyo dereva hakuwa na mtu wa kumuendesha kwa hiyo alikuwa anashinda siku nzima bila kufanya kazi yeyote. Profesa akapendekeza kuwa kwa vile hafanyi kazi aliyoajiriwa basi asaidie kupanga mafaili. Jamaa baada ya kuifanya kwa muda mfupi akaandika barua ya kudai malipo ya ziada kwa kuwa anafanya kazi ambayo hakuajiriwa. Alipojibiwa kuwa hamna pesa hazipo za kumlipa akaamua kuacha kuja kazini kwa wiki nne.
Alifukuzwa kazi kwa sababu hiyo na sio kwa sababu alikataa kufanya kazi aliyoajiriwa. Kutoonekana kazini bila ruhusa kwa muda fulani ni sababu tosha ya kuachishwa kazi. Dereva alitaka alipwe mshahara wa bure.
Ambacho hakujua ni kuwa angeweza kuachishwa hiyo kazi kwa sababu hiyo ya kukaa idle tu. Ile kupanga mafaili kungeonyesha umuhimu wake mpaka siku angepewa mtu wa kumuendesha. Profesa yuko sahihi kabisa kwenye hili. Kiburi cha kijinga ndio kimempoza huyo dereva.
Amandla...
Hakuna shida muajiri kukubadilishia majukumu ya kazi yako, inategemea mkataba wako wa kazi ukoje na pia unachotakiwa ni kukataa au kukubali.Angefanya hivyo na kumlipa stahiki zake zote angekubali kuondoka kutafuta kazi nyingine. Sio kesho mtu anakuja kazini ni Daktari unamwambia ufanye usafi. Walimuonea sababu ni dereva. Udereva ni kazi muhimu, bila focus kupoteza maisha ya abiria ni dakika sifuri.
We hauna iyo elimu ya kufanya kazi na pro Assad, we ni kiazi mmoja tu, nyie ni misukule ya magufuli na mazombie yake,Prof. Assad ni bogus sana anajiona anajua kila kitu na hana busara kabisa nimefanya naye kazi akiwa Mwenyekiti wa Board moja hivi. Alishindwa kuongoza Board hiyo na Taasisi husika ilipata hasara kwa muda wote akiwa Mwenyekiti wa Board hiyo alikuwa anaendekeza rushwa sana.