Nimesikiliza mahojiano ya Prof. Assad na Kikeke, huyu Prof. ana ujuaji mwingi. Unafukuzaje mfanyakazi akikataa kufanya majukumu ambayo sio yake?

Nimesikiliza mahojiano ya Prof. Assad na Kikeke, huyu Prof. ana ujuaji mwingi. Unafukuzaje mfanyakazi akikataa kufanya majukumu ambayo sio yake?

Kupanga mafile kuna shida gani?, Mimi nimefanya kazi na madriver wenye elimu ya uhasibu 2. Siku ambayo hatuendi field walikuwa wanamsaidia mhasibu kazi za kihasibu, baada ya kuona utayari wao tuliwapandishia mishara.
Umeshasema Wana elimu ya uhasibu
Records and archive management ni taaluma na huyo driver alifanya akaona ugumu ndio maana akaona Bora kuacha Wala hakupaswa kupigiwa mfano kana kwamba ni mvivu na asiefaa ni mtu aliyekataa kufanya kitu kilicho nje ya uelewa wake
Hakuna hata sehem inaonesha prof alitoa ushauri wa huyo mtu kupewa short course ya hiyo kazi mpya ili asiwe jobless kama kweli alikuwa jobless
Kwenye hili Prof ameonesha upande wake wa pili kuwa yeye na Magu sawa sawa
 
Magufuli alijidhalilisha sana kumfukuza kazi kinyume na katiba huyu profesa. Kwanini alikua anaogopa kufanya kazi na watu waadilifu alikua anaficha nini?
 
Samahani ndg!
Je unaweza kuonyesha kifungu chochote kwenye Sheria na Kanuni za Utumishi wa Umma zinazomtaka mtumishi ambaye hatathibitishwa kazini kuishi kama mkibarua?
Standing orders ni kwa ajili ya watumishi wa umma ambao ni pensionable. Kwa vile Chuo Kikuu cha Kiislamu Morogoro ni private basi standing orders haziwahusu. Na kwa vile dereva wa ngazi yake sio pensionable hahusiki na standing orders.

Probation period inatoa haki kwa pande zote kuvunja mkataba bila penalties. Ukiacha kazi wakati wa probation period hauadhibiwi ila ukiacha kazi baada ya probation period unatakiwa ufuate hatua kadhaa ( notisi ya muda fulani) ndio usiadhibiwe. Vile vile ukifukuzwa wakati huo bila kufuata utaratibu unakuwa na haki ya kudai fidia.
Wakati wa probation ni wakati wa kujipendekeza. Huyu dereva angekuwa makini angeomba mwenyewe asaidie kupanga mafaili baada ya kuona anashinda siku nzima bila kufanya kazi yeyote.
Kwenye hili hamumtendei haki dereva hasa kwa vile dereva alifukuzwa kwa sababu ya utoro kazini na sio kukataa kupanga mafaili.

Amandla...
 
Udereva sio taaluma mahususi.
Screenshot_20240912_220847_Chrome.jpg
 
Kupanga mafile kuna shida gani?, Mimi nimefanya kazi na madriver wenye elimu ya uhasibu 2. Siku ambayo hatuendi field walikuwa wanamsaidia mhasibu kazi za kihasibu, baada ya kuona utayari wao tuliwapandishia mishara.
Dereva kilaza asiyeweza kupanga files sijui hata walimuokata wapi,
 
Wakati akihojiwa na Salim Kikeke,

Aliyewahi kuwa CAG na kuondolewa kwa aibu kuu Prof. Assad anadai kuna mtumishi huko Morogoro aliajiriwa kama Dereva.

Lakini kwakuwa hakuwa na mtu wa kumuendesha basi wakaamua wawe wanampa kazi ya kupanga mafaili.

Jamaa baada ya kuona anafanya kazi ambazo sio zake akaamua kuandika barua akidai alipwe kwa kufanya kazi ambazo sio zake.

Huyu Prof msomi na mshika dini akamuamuru HR amfukuze kazi huyo dereva.

Hapa tunasikiliza mahojiano ya Prof. Akilalamika kufutwa kazi bila utaratibu lakini wakati huo huo anatueleza bila aibu kitendo chake cha kinyama cha kumfuta mtumishi kazi kwa kudai haki zake.

Kwa elimu yake hiyo anaona ni sahihi kwa dereva kufanya kazi za kupanga file badala ya kuendesha gari kulingana na mkataba wa ajira yake??

Je yeye huyo Prof. Angeambiwa akadeki korido pale UDSm badala ya kufundisha wanafunzi kukariri madesa angefanya hivyo.

Ama kweli binadamu ni wasahaulifu sana na wanafiki mno.

Huyu keshasahau namna alivyomtenda mwenzake anaona ni haki yake kuonea wengine kwa kuwa kasoma sana ila wenzake hawana haki ya kumfuta yeye kazi.

Such an arrogant and a very useless academician.


View: https://youtu.be/eE2JoDEd43Q?si=vgPL1ihKxMpsLtel




Huwezi kumuelewa na utamaduni wa uvivu wa kupindukia Tanzania. Yaani unaajiri Dereva ambaye ambaye anashinda kwenye gari kwa masaa nane anamsubiri Boss bila kufanya lolote na tunaona ni sawa!. Si ajabu umasikini umetawala
 
Amekuwa na kazi ya kulalamika tu mda wote.
Ukiwa unafahamu kuwa boti unalosafiria linakwenda kuzama, hutaacha kulalamika kila dakika ili pengine Kapteni atastuka na kuponya mtumbwi.

Ni mwendawazimu tu (ashakum si matusi) ambaye atakaa kimya nyakati kama hizo na badala yake atachekelea na kumpongeza kapteni.
 
Wewe upo hapa kubishana kumbe.
Unaelewa maana ya taaluma kwanza?? Ukienda kuajiriwa kama daktari mahali ukapewa gari la kuendesha mwenyewe kwenda kazini ukiulizwa una taaluma gani utasema una taaluma ya udaktari na udereva??
 
Prof. Assad ni bogus sana anajiona anajua kila kitu na hana busara kabisa nimefanya naye kazi akiwa Mwenyekiti wa Board moja hivi. Alishindwa kuongoza Board hiyo na Taasisi husika ilipata hasara kwa muda wote akiwa Mwenyekiti wa Board hiyo alikuwa anaendekeza rushwa sana.
Kwa KAZI yake ya kuwa Auditor Mkuu, anaruhusiwa kuwa Mwenyekit WA Bodi
 
Back
Top Bottom