Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).

Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.

Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.

Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.

Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
 
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).

Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.

Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.

Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.

Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
Aucho, Aucho, Aucho.

Yanga waombee bahati iamue mechi ya marudiano maana Sure Boy anakula mshahara wa bure tu.

Aziz K naye ni mzigo sana kung'ang'ania kukaa na mpira muda wote mguuni ilihali ni mzito kupita maelezo.
 
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).

Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.

Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.

Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.

Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
Kiongozi kuwa bora kwenye football haimaanishi una Win kila mechi mkuu mistakes zipo. Yanga imefika nusu fainali na fainali kwa mara ya kwanza hayo pia ni mafanikio relax
 
Kilichosalia ni muujiza tu. Kwa hesabu za mpira ni vigumu Yanga kuchukua kombe.

1/Ashinde 2-1 Ugenini iwe draw.
2/Au ashinde kwa tofauti ya Goli mbili.
Kwa mpira niliouona kwa Hawa jamaa Tena walikua wanafunguka kwa akili lakini wametupiga mbili

Hii ni fainali Mwarabu huwa Hana mchezo ushindi kauchungulia tayari
 
Kiongozi kuwa bora kwenye football haimaanishi una Win kila mechi mkuu mistakes zipo. Yanga imefika nusu fainali na fainali kwa mara ya kwanza hayo pia ni mafanikio relax
Mkuu angalia na mpira uliochezwa ndiyo utagundua Yanga kutoboa ni ngumu sana Bora hata tungeomba hata sale tungejipa matumaini
 
Matumaini yangu ya Yanga kuchukua ubingwa yameshuka mpaka asilimia ishirini (20).

Kiufupi wachezaji wamecheza chini ya kiwango hata MORALI usoni mwao ilikua ndogo kabisa.

Ukitazama goli la pili ni goli la kizembe sijapata kuona, wachezaji walijiachia utadhani wanacheza na dodoma jijj au singida bigstars kule uwanja wa liti studium.

Wamesahau kabisa hii ni fainali na Kama waarabu wangekua wapo Moto(wangeamua kufunguka) basi yanga alikua anakula goli hata nne (4) kavu.

Diara ndiyo man of the match, tutizame dakika tisini (90) zingine tuone Kama yanga ana uwezo wa kufunga goli mbili (2) bila.
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Haya bhana.
 
Ohoo nlishangilia sana iLe dro punde tukaongezewa, matumaini Bado ninayo.
 
Pole sana mkuu.

Leo NDIO NIMEAMINI SIMBA ni timu kubwa.
Alahaly
Orando.
KAIZER.
WHYDAD

Hawa ni giant wote WAMEKAA kwa Mkapa.

Kipimo chenu msimu huu ilikuwa MICHEZO miwili.
Simba. 2-0
Usm 2-1

YANGA Bado sana
Raja alikaa?
 
Back
Top Bottom