Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Nimesikitika sana kuona Mwarabu ana "score both halves" Tena kwenye uwanja wa Nyumbani (mkapa stadium)

Malumo kamfunga huyu USM alger
Malumo kamtoa Pyramids
Unaifananisha na Horoya
Hata mpira wao ni mbingu na ardhi
Mbona unafananisha timu ya klabu bingwa na ligi ya waliofeli ?
 
"MWARABU KATIA KICHWA" wasafi wana caption za kisenge sana [emoji23][emoji23]
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Tafiti-yanga haijawahi kufanya vizuri kwenye mazingira ya uwanja wenye maji. Geita gold, simba,na usma ila tutegemee fainali nzuri sana kule Algeria na wanayanga niwatoe hofu tutashinda Mungu yu pamoja nasi
 
Tutayajadili kipindi cha pili kitakapoisha huko Algeria na kutoa mshindi
kuna mengi ya kujifunza.
 
Kama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Swali gani hilo eti waarabu watakubali, mpira unachezwa uwanjani na yanga haendi kinyonge mwarabu atakimbizwa hadi aseme poo na kombe linachukuliwa Algeria
 
The boys gave everything, but quality decided the results!

Utopolo hawana uwezo wa kutosha kuwasumbua USM Alger.
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Mkuu wa PhD na wewe unaamini haya mambo? Kwamba mvua ililetwa na uchawi na ndiyo maana mkafungwa?

Kaazi kweli kweli.
 
Swali gani hilo eti waarabu watakubali, mpira unachezwa uwanjani na yanga haendi kinyonge mwarabu atakimbizwa hadi aseme poo na kombe linachukuliwa Algeria
Ngoja tuone itakavyokua
 
Yani mwarabu yupo kwake, kombe analiona pale jukwaani, halafu amuachie utopolo aondoke nalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labdaa waarabu wa Kariakoooo, ila sio wale wa West Africa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.

Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.

Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?

Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Acha imani potofu. Mbona mechi yenu na Monastir pale kwa Mkapa mlishinda ilhali na mvua ilikuwa inanyesha?
 
Back
Top Bottom