Mbona unafananisha timu ya klabu bingwa na ligi ya waliofeli ?Malumo kamfunga huyu USM alger
Malumo kamtoa Pyramids
Unaifananisha na Horoya
Hata mpira wao ni mbingu na ardhi
Tafiti-yanga haijawahi kufanya vizuri kwenye mazingira ya uwanja wenye maji. Geita gold, simba,na usma ila tutegemee fainali nzuri sana kule Algeria na wanayanga niwatoe hofu tutashinda Mungu yu pamoja nasiUsichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Swali gani hilo eti waarabu watakubali, mpira unachezwa uwanjani na yanga haendi kinyonge mwarabu atakimbizwa hadi aseme poo na kombe linachukuliwa AlgeriaKama goli la ugenn halihesabiki yanga wanaweza pindua meza ila kama linahesabika ni ngumu.
Uwezo wa timu zote mbili tumeuona Leo ,yanga anaweza kufunga magoli uarabun lakin sio Kwa 2-0 game ijayo Bado naona Kuna GG maana uwezo ni kama unakaribiana Kwa timu zote mbili .
Yanga akishinda 2-1 km goli la ugenn linahesabika ni out kama halihesabiki ni extra time had matuta ,Zaid afunge 3-1 Moja ,swali je warabu watakubali hicho kitu tena uwanja wa nyumban ?
Mpira una maajab japo Kwa hili nauona ugumu Kwa yanga.
Mkuu wa PhD na wewe unaamini haya mambo? Kwamba mvua ililetwa na uchawi na ndiyo maana mkafungwa?Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.
Kwani uchawi hamna.Mkuu wa PhD na wewe unaamini haya mambo? Kwamba mvua ililetwa na uchawi na ndiyo maana mkafungwa?
Kaazi kweli kweli.
Ila uwezo anao prince dube kuwasumbua Simba.The boys gave everything, but quality decided the results!
Utopolo hawana uwezo wa kutosha kuwasumbua USM Alger.
Ngoja tuone itakavyokuaSwali gani hilo eti waarabu watakubali, mpira unachezwa uwanjani na yanga haendi kinyonge mwarabu atakimbizwa hadi aseme poo na kombe linachukuliwa Algeria
Uchawi ulete mvua? Tungewahi kuwa na ukame hapa Tanzania? Wala tusingejali kuhusu kilimo cha umwagiliaji.Kwani uchawi hamna.
Labdaa waarabu wa Kariakoooo, ila sio wale wa West Africa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani mwarabu yupo kwake, kombe analiona pale jukwaani, halafu amuachie utopolo aondoke nalo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana muita Babu kajuuu, au mzee wa busaraa.Huwa nashangaa sana mnavyomu overrate sureboy.
hamna kitu mule, turning kibao zisizo na manufaaWana muita Babu kajuuu, au mzee wa busaraa.
Si ajabu hata wachezaji wamekata tamaa, kurudisha hizo goli spirit hiyo yanga hana, huo ndo ukweli.Dah ni ngumu sana aise
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hamna kitu mule, turning kibao zisizo na manufaa
Acha imani potofu. Mbona mechi yenu na Monastir pale kwa Mkapa mlishinda ilhali na mvua ilikuwa inanyesha?Usichokijuwa leo tulicheza na timu mbili, ila kule Algeria Yanga itacheza na timu moja tu.
Yanga ina kawaida ya kuwaduwaza watu pale wasipotegemea tena ugenini.
Unajuwa siri kwa nini Yanga ikitulia ugenini huwa inapata Matokeo mazuri?
Angalia kesho kama utaona hata tone la mvua, wameshamaliza tukose wote.